Gari ya kitenge kuhusishwa na mambo ya bandari ni ujuha! Inaonyesha mmeanza kukosa hoja!

Mganguzi

JF-Expert Member
Aug 3, 2022
1,032
2,769
Simfahamu kitenge kwa namna yoyote ! Lakini wahujumu uchumi waliokuwa wakineemeka na bandari yetu na wale wanaomiliki bandari kavu hapa dar !

Na wanyonyaji wote waliokuwa na maslahi na mfumo wa zamani wa bandari kwa Sasa wanajaribu kuwatumia vibaraka wao wa kwenye tweet na mitandao mbalimbali kuwasakama wale wote wanaounga mkono uwekezaji wa bandari yetu na kuwaona maadui, Kitenge ni mwandishi wa habari na alienda kule kujiridhisha na sio kuwafurahisha wanasiasa!

Kilichompeleka kule ni kampuni yake yenye weledi mkubwa ya wasafi media ili wapate habari za uhakika , hayo hayana mahusiano na maisha binafsi ya kitenge.

Acheni wivu wa kitoto kanunua gari kwa pesa yake Kila mtu atafute Hela akanunue gari yake hakuna wa kukuzuia ,tatizo lenu mtu akiwa kinyume na mawazo yenu mnamfanya adui huo ni utoto kwenye mambo ya msingi ..jadilini hoja ya msingi achaneni na maisha ya mtu binafsi
 
Aya na mstari wa kwanza umeanza kwa kukana kumjua Kitenge.

Saikolojia ya binadamu inasema kwamba mtu akianza kujitetea bila kuhojiwa maana yake ni kwamba ni mkosaji. Kwa hiyo, mtoa mada unaonekana unamfahamu Kitenge na ndiye kakutuma.

Nilitaka nikutukane kama ulivyotukana ila nimefuta maana haina maana.
 
Hahaa
Aya na mstari wa kwanza umeanza kwa kukana kumjua Kitenge.

Saikolojia ya binadamu inasema kwamba mtu akianza kujitetea bila kuhojiwa maana yake ni kwamba ni mkosaji. Kwa hiyo, mtoa mada unaonekana unamfahamu Kitenge na ndiye kakutuma.

Nilitaka nikutukane kama ulivyotukana ila nimefuta maana haina maana.
Hahahaha boss wangu sijatukana ila ukweli ni huo
 
Huyu kitenge siku akifa mdomo utakuwa wazi huku tumbo limevimba sana...ametumia mdomo wake kusababisha ardhi ya masai ikauzwa pamoja na rasilimali za nchi..akifa mje muitafute hii comment.
 
Mafisadi mmejitokeza kwa fujo kumbe Marehemu Magufuri alikuwa sahihi pale aliposema,"MTANIKUMBUKA"alikuwa anajua nini kinafuata baadaye.

Hongereni wakati n wenu lakini akili yenu ni ndogo kuipa nchi nyingine ajira ya Bandari chanzo kikuu cha uchumi na usalama wa nchi.
 
Back
Top Bottom