Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 681
- 421
Umewahi testiwa tune pima kina
Umewahi testiwa tune pima kina
Gari muhimu sanaGari ni muhimu sana sana hasa hapa jiji la makonda huwa naona mademu wana mshobokea mtu ana carina tu old model ,ila hana hata mia wengi tu nimewaona,hata uwe na milioni 5 hasa bar kama huna gari watu wanachukua demu faster mbele yako
Sent using Jamii Forums mobile app
JF ya siku hizi ina Corona...hadhi yake imeshuka mnoKwanza wanawake wa sasa hivi wenyewe wanaangalia cha kwanza gari, hata ukipishana nae mtaani ukiwa ndani ya gari yako unamng'oa chapu tu, na ninachowapendea wanawake hajiulizi gari ni lako au umeazima, yeye akikuona unadrive tuu umevaa shati lako safi limepigwa pasi likakubali, anajua ni lako na anaona labda wewe ni kigogo fulani au mfanyabiashara mkubwa, gari ni muhimu jamani.
Wewe hata uwe na viwanja vingapi, ukipita mtaani watoto wazuri hawatajua kama una kiwanja au nyumba.
Juzi nakatiza zangu mitaa fulani nipo ndani ya ndinga, mtoto mkali akapita nikapiga honi mara moja tuu nikapaki pembeni, mtoto huyo akaja, nikashusha kiyoo maongezi machache tuu namba hii hapa nikasave, na lifti nikampa, na mabusu motomoto kwenye gari manusura nilete ajali barabarani maana ilikua hatari sana.
Nasikia ulikuwa unamwaga mvua ya nyuzi like nobody's business







Aaaah



sio kwa tako hilo, yaani ni checheeeeeeeeeeWaliolike hii comment naona hawana Gari







Hata IST au Vits?Kwanza wanawake wa sasa hivi wenyewe wanaangalia cha kwanza gari, hata ukipishana nae mtaani ukiwa ndani ya gari yako unamng'oa chapu tu, na ninachowapendea wanawake hajiulizi gari ni lako au umeazima, yeye akikuona unadrive tuu umevaa shati lako safi limepigwa pasi likakubali, anajua ni lako na anaona labda wewe ni kigogo fulani au mfanyabiashara mkubwa, gari ni muhimu jamani.
Wewe hata uwe na viwanja vingapi, ukipita mtaani watoto wazuri hawatajua kama una kiwanja au nyumba.
Juzi nakatiza zangu mitaa fulani nipo ndani ya ndinga, mtoto mkali akapita nikapiga honi mara moja tuu nikapaki pembeni, mtoto huyo akaja, nikashusha kiyoo maongezi machache tuu namba hii hapa nikasave, na lifti nikampa, na mabusu motomoto kwenye gari manusura nilete ajali barabarani maana ilikua hatari sana.
kama ni watoto wa shule sawaaa.
Ila yule anayejielewa akupende kisa gari hyo ni ndoto.
Sent using Jamii Forums mobile app