D zimekuwa DeadYaani Namba E kila kona, D kuonekana ni 2 kwenye gari 10. Nayo ni Kirikuu, Land Cruiser, na Corolla. Hapo Namba C ndio tusiongelee kabisa.
Watu hela ipo mzee,Yaani Namba E kila kona, D kuonekana ni 2 kwenye gari 10. Nayo ni Kirikuu, Land Cruiser, na Corolla. Hapo Namba C ndio tusiongelee kabisa.
specially corolla bado zinashamirNamba A ndio hamtaki ziingie city centre
Mkuu, hata huku mkoani siku hizi kila gari ni namba E. Watu wa mikoani siku hizi waliacha kununua gari used Dar, wanaagiza Japan na wao.Zipo mikoani
Nafikiri alimaanisha namba A zilizochoka kachaka.Namba A ndio hamtaki ziingie city centre
Mimi kwangu gari si plate namba sababu mimi sio dalali kwamba nanunua gari ili niuze , mimi gari i kwa matumizi yangu hivyo hata gari ikiwa namba T 101 AAA ili mradi tu board yake imenyooka iko vizuri nachukua, maana nina kigari cha field nilikichukua kwa padre mmoja hapa Rav 4 old nambaT 1** A** aisee gari ilikuwa bado mpya kabisa kuanzia board hadi engine ,naipenda kuliko nyingine nilizo nazo, na huwa na kuwa na uhakik wa safari nikiwa na hii Rav 4 kuliko hilo lingine la kisasa ambalo umeme kila sehemuNafikiri alimaanisha namba A zilizochoka kachaka.
Nenda kwenye page ya IG inaitwa wanaume wa plate A ukaone gari zilivyonyooka.