D zimekuwa DeadYaani Namba E kila kona, D kuonekana ni 2 kwenye gari 10. Nayo ni Kirikuu, Land Cruiser, na Corolla. Hapo Namba C ndio tusiongelee kabisa.
Watu hela ipo mzee,Yaani Namba E kila kona, D kuonekana ni 2 kwenye gari 10. Nayo ni Kirikuu, Land Cruiser, na Corolla. Hapo Namba C ndio tusiongelee kabisa.
specially corolla bado zinashamirNamba A ndio hamtaki ziingie city centre
Mkuu, hata huku mkoani siku hizi kila gari ni namba E. Watu wa mikoani siku hizi waliacha kununua gari used Dar, wanaagiza Japan na wao.Zipo mikoani