Gari Moshi (Train) zaanza safari jijini Dar es Salaam!

Status
Not open for further replies.
kwa mliopanda leo hebu tupeni uzoefu mmelionaje? mmelipia sh ngapi na wapi?
hatua nzuri nadhani leo watu watakuwa wamewahi makwao.
 
tatizo ni kwamba treni zenyewe ni za kizamani sana. lakini hata hivyo ni bora kwa kuanzia. Hongera Mwakyembe.
 
Mwakyembe Jembe.Nakutakia kila lenye kheri wewe ni kiongozi wa kweli.Umefanya kazi imeonekana. Tunasubiri uwanja wa ndege wa mbeya Nao uzinduliwe It is long overdue.

Mkuu Mwakyembe, usisahau kuweka kabehewa japo kamoja kawe kanasanya kutoka Uyole hadi Iyunga, wale vibaka wa Mwanjelwa wanasumbua sana.
 
Jamani wanaJF hakuna aliyepanda atujuze alivyoona huduma ilivyo? Treni inaanzia kituo gani, je njiani inasimama na inachukua wastani wa dakika kufika mjini?
 
Saaafi 2.5 langu likiwasha taa ya Mafuta....nawahi tu kuamka .

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Pamoja na kwamba wanafufua usafiri wa reli sijui wanajenga daraja la kigamboni, ukweli unabaki pale pale! Hatutatoka kwenye mstari wa kudai mabadiliko mwaka 2014 kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015. Wanayoyafanya leo walipaswa kuyafanya tangu miaka ya 70.

Tuwape pole na tuwaulize walikuwa wapi siku zote??

Nakala: Matola, Crashwise, Candid Scope, Kimbunga, Ngongo, Preta, Daudi mchambuzi, Masanilo, Mikael P Aweda, nk.


TUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd [/SUP]Overall Best Student in Form Six National Exams))
tumbiri@jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:
Haya ni maigizo tu kama TTCL walivyodhaniaga kwamba na wao wana uwezo wa kutoa huduma za Public phone za kutumia Card. mtu yeyote ambaye amezunguka Dunia atajuwa naamanisha nini.
 

Attachments

  • MELI.jpg
    MELI.jpg
    22.6 KB · Views: 31
nafikiri si busara kuanza tuu kuukosoa huu mradi bila hoja za mantic... Kuna humu ni wazuri saana wa kupinga tuu bila hata kufanya proper analysis. Tuuache huu mradi uanze... Tusome challenge zake na kukabilianza nazo... Ndio progress inavyokuja hivyo.... Huwezi kuanza tuu to perfections, sometimes perfections comes after several trials.
Kwa maoni yangu mimi binafsi... Kujaribu si kushindwa, tusonge mbele... Ni bora kuja kusema tulijaribu tukashindwa kuliko kusema tuliogopa kujaribu!
Tuko pamoja mkuu
 
good job mwakyembe..the power of positive thinking..yes we can...we will build our country bit by bit.....
 
....so much things to say wright nw!!!...kwanza...nikiri, naona dalili ya sifa ya "mwanariadha mzuri".....serikali hii inaelekea inaweza ikamaliza muhula wake wa mwisho kwa kasi...(sprinting!)....ole wenu watanzania...ole wenu!..ndani ya utandawazi, watu masikini wanaokolewa na ushirika wao wa kweli na wa dhati..na si na wanasiasa (wote, wa upinzani, na wa chama tawala)...wamiliki wa daladala....tutashuhudia, si mda mrefu namna watakavyokuwa "wakipondwapondwa" kibiashara na makampuni makubwa, pamoja na miradi mikubwa ya usafirishaji/uchukuzi inayotegemewa kuingia ktk biashara hiyo kipindi hiki..wokovu wao? ushirika tu...!...salute....!.. "mwanamapinduzi" mwakyembe...unayoyasimamia yatafanya umma ukukumbuke ktk namna ya heri....!
 
Hongera Mwakyembe. Tahadhali kwenu wazee wa daladala na bodaboda, Msihujumu jitihada hizi kama ilivyofanyika hapo mwanzo kwa treni na mabasi ya uda
 
Hii ndo ilikuwa wasiwasi yangu toka niliposoma habari hizi. Sielewi matumizi ya Diesel kila siku pamoja na mishahara ya waajiriwa. Hizo cost za kawaida tu kama zitaweza kujilipa acha maintenance..Pamoja na yote sidhani kama mradi huu utadumu..

Embu tuwe positive kidogo. Acheni ushamba, toeni mapendekezo. Hata ndege ilijengwa hivyo hivyo wachache wajinga wakisema haiwezekani, its too dangerous. Toeni muafaka. Mwakyembe ameenda a mile Nyinyi?
 
Duuu! Kweli Maendeleo yanaletwa na wananchi wenye nia. Mafisadi aibu tupu na mabasi yao. Kelele za nauli sasa watakoma ubishi.

mwakyembe anatakiwa awe mchadema huko aliko watamharibu hawawapendi wachapa kazi hao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom