Hii ndio Tanzania kila kitu tunachukilia poa tu maiti za kwenye viroba majibu ya waziri umeyasikia ??Mgawa rushwa huwa anapigwa mawe au anapelekwa TAKUKURU?
Hao waliorusha mawe wakamatwe washughulikiwe kikamilifu bila huruma
Sijayasikia mkuu unaweza kutushirikisha?Hii ndio Tanzania kila kitu tunachukilia poa tu maiti za kwenye viroba majibu ya waziri umeyasikia ??
Mgawa rushwa huwa anapigwa mawe au anapelekwa TAKUKURU?
Hao waliorusha mawe wakamatwe washughulikiwe kikamilifu bila huruma
Mkuu acha ulaghai... Nchi yeyote. Duniani ikitenda haki uovu hutoweka wenyewe sasa unapoizungumzia Serikali hii ya ajabu ni sawa na kujamba kwenye Maji ili ushuzi usinuke...Kuna haja ya Serikali kuanzisha kampeni za makusudi juu ya kuwaeleza wananchi kufuata sheria za nchi, make siku kadri siku zinavyosonga na ndo wananchi wanazidi kuwa vinara wa kujichukulia sheria mkononi pasi kumsikiliza mtuhumiwa, nk.
Kuna kitu nadhani hakiko sawa kwenye taarifa yako maana sioni support ya vyanzo zaid ya wewe mwenyewe inamana tukio hilo unalishuhudia peke yako??? Kuna walakin na habari hii.Gari La Mbunge wa Kwimba kupitia chama cha mapinduzi mh. Mansour limepigwa mawe na kutolewa vioo likiwa linagawa majembe kwa wananchi wa Lunele Jimbo la Kwimba.
Wananchi walifikia hatua hiyo baada ya kukerwa na hiyo tabia ya kuwagawia majembe,kwani walitofasiri kuwa ni Rushwa.
[HASHTAG]#Tunamtakabenakiwahai[/HASHTAG].
Kuna haja ya Serikali kuanzisha kampeni za makusudi juu ya kuwaeleza wananchi kufuata sheria za nchi, make siku kadri siku zinavyosonga na ndo wananchi wanazidi kuwa vinara wa kujichukulia sheria mkononi pasi kumsikiliza mtuhumiwa, nk.