King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,638
Lema fumua ubongo hao kenge wa UVccm.
Lema yule ni jambazi
Ccm italeta vita .Akiwa anaekekea nyumbani kwake Mbunge Wa Arusha Mjini Mhe. Godbles Lema ameshambuliea na vijana wa uvccm maeneo ya clock Tower,..kuna watu wameumia katika tukio hilo ambalo vijana wa ccm walimvamia lema wakiwa na mashoka, panga na mipini..
Jana jioni ccm walibeba chokoraa wenye marungu na mapanga walijaa fuso ukionyesha alama ya V wanakushambulia wanapiga watu lakini polisi hawachukui hatua yeyote.Majambazi magamba mnaogopa cdm. Poleni sana Lema hamumuwezi majizi nyie.
Nikikutukana utasema nakuonea?
Nani amshambulie jambazi mkongwe kiasi hicho! hao ni wezi wenzake amewa stage ili kujipa promo baada ya kugundua wana A.Town wamemstukia na wanataka kumtosa ubunge kwa kuwadanganya mambo mengi na yote kuishia kwenye maandamano yanayokosesha wananchi vipato kwa vurugu na kupora mali.
DALLAI LAMA , tusubiri matokeo ya serikali za mitaa kwanza!Lema ameimaliza ccm arusha.
walio mruhusu lema kumiliki silaha walikosea sana. Kila wakati mtu amelewa unammilikisha slaha
Wezi ni nyie ccm mnatuibia mabilioni kila kukicha. Yaani hata lepe huna umesahau escrow tayari? Kama Lema angekuwa mwizi ungekuta umeshamfunga kwa kuwa ni mwiba kwenu. Nendeni bungeni mkawasilishe hoja binafsi kuhusu ujambazi wa Lema kama alivyothubutu Kafulila kuwasambaratisha majambazi nyie.
LEMA nilikutana naye jana pale SAHEEL BBQ, karibu na ST.THOMAS HOSP. tukasalimiana huku mimi nikiwa namchora tu!
Kiukwelgi alionekana ni Hopeless fellow!
Mbunge wetu wa Arusha ameendeleza vituko baada ya kupiga risasi hewani muda huu hapa jijini Arusha kutoka kilipo kituo cha polisi mpaka alipo pigia risasi ni mita kama Mia tano kisa ni baada ya kukutana na msafara wa ccm hali ya chadema ni mbaya sana Arusha na hizi fujo za lema zinaharibu zaidi
Nani amshambulie jambazi mkongwe kiasi hicho! hao ni wezi wenzake amewa stage ili kujipa promo baada ya kugundua wana A.Town wamemstukia na wanataka kumtosa ubunge kwa kuwadanganya mambo mengi na yote kuishia kwenye maandamano yanayokosesha wananchi vipato kwa vurugu na kupora mali.
Hao watakuwa ni wahuni wenzake amewadhulumu.