wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 491
- 763
Kuna uwezekano wa Mhe Godbless Lema kuhamia chama Tawala chama Cha Mapinduzi ili aweze kugombea nafasi ya ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini.
Katika pita pita zangu maeneo mengi ya Arusha wazee , viongozi na hata vijana wanasema Lema ana akili nyingi sanaa na akipewa nafasi hiyo ataipeleka Arusha mbaliii sanaa.
Lema jiandae kuingia chama Tawala chama kubwa chama Cha CCM ili ugombee nafasi ya ubunge.
Katika pita pita zangu maeneo mengi ya Arusha wazee , viongozi na hata vijana wanasema Lema ana akili nyingi sanaa na akipewa nafasi hiyo ataipeleka Arusha mbaliii sanaa.
Lema jiandae kuingia chama Tawala chama kubwa chama Cha CCM ili ugombee nafasi ya ubunge.