Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

Dawa ya mwiza akivamia dawa yk nn, nakuapia ww dem arusha hamataambulia chochote kama mlisahau 4 bila subirin sasa
 
Intarahamwe walifikiri wanaweza kumshugulikia lakini chamoto wamekiona
 
DALLAI LAMA , tusubiri matokeo ya serikali za mitaa kwanza!

CHADEMA ikishinda Arusha nakupa laki moja taslimu!



Umesahau ya Udiwani fara weee???? Hapa A town tumewasanukia mafisadi kitambo sana........hapa hamna nyimbo wezi wakubwa sisiem!
 
Last edited by a moderator:
Mbunge wetu wa Arusha ameendeleza vituko baada ya kupiga risasi hewani muda huu hapa jijini Arusha kutoka kilipo kituo cha polisi mpaka alipo pigia risasi ni mita kama Mia tano kisa ni baada ya kukutana na msafara wa ccm hali ya chadema ni mbaya sana Arusha na hizi fujo za lema zinaharibu zaidi

Bastola zinatolewa ovyo sana Arusha.

Vijana wengi wasio na maadili nao wanamiliki bastola.

Sio lazima ukivamiwa utumie risasi kujihami.

Nakumbuka mwaka 2004, niliwahi kuvamiwa na majambazi nyumbani kwangu, nilikuwa na bastola lakini sikurusha risasi hata moja! Nilitumia mbinu tu kuwaonyesha kuwa nina silaha pia, na wote wakatoweka ghafla! Mbinu nilizojifunza jeshini zilisaidia sana!

Sasa huu uzao wa akina LEMA! akigombana na Girlfriend wake anatoa bastola!

Namiliki Bastola mwaka wa 18 huu lakini wanaojua umiliki huu hawafiki hata watano!
 
Akiwa anaekekea nyumbani kwake Mbunge Wa Arusha Mjini Mhe. Godbles Lema ameshambuliea na vijana wa uvccm maeneo ya clock Tower,..kuna watu wameumia katika tukio hilo ambalo vijana wa ccm walimvamia lema wakiwa na mashoka, panga na mipini..

How sure are u kwamba ni vijana wa ccm wamekuonesha kadi zao? ?
 
Ccm ni mafia, wana ukawa kuweni macho hasa leo, kesho na kesho kutwa. Ccm kuua na kujeruhi sio kazi kwao!
 
Wakuu,

Taarifa za muda huu ni kwamba CCM wamevamia gari la Mh. Mbunge wa Arusha mjini maeneo ya Clock Tower wakati anaelekea nyumbani kwake njiro.
Wakati anapita Mnara wa saa, ghafla wakatokea maccm yakiwa na watu wenye sura ngumu kama banyamulenge, wakaanza kushambulia gari la mbunge huku wakimweleza kwamba wewe ndiye nuksi hapa Arusha, lazima tukukomeshe. Bahati nzuri wakatokea wananchi wazalendo wakaanza kuwashambulia hao banyamulenge wakakimbia zao.

Hivi sasa Mh Lema anaandika maelezo polisi

Sio banyamulenge hao ni Interahamwe..
 
Lema yule ni jambazi

CHADOMO Yote ni Failures yaliyoshindwa ama kufukuzwa Kwenye Serikali ama Chama, Sasa Hasira Wamegeuzia kwa SERIKALI Ku Settle Scores Wakilaghai Wananchi Kuwa ETI Wana UCHUNGU kumbe Visasi , Cheap Politics Kupata Cheap Popularity
 

Attachments

  • attachment-2.jpeg
    attachment-2.jpeg
    4.4 KB · Views: 379
lema si nuksi nuksi ni wez ndan ya chama chenu

Mwizi ni MBOWE Aliyewauzia Fuso alizopigia Kazi Miaka 2 zisizozidi 40m kwa Milioni 160 na Mkalipa mkitumia FEDHA za Ruzuku ZA Walipakodi Mkiongopea WATU ETI MNA UCHUNGU Ovyooo USANII MTUPU
 
Back
Top Bottom