aseenga
Senior Member
- Jul 13, 2011
- 106
- 86
Hao watakuwa ni wahuni wenzake amewadhulumu.
Unaujua uhuni wewe au unabwabwaja tu.
Hao watakuwa ni wahuni wenzake amewadhulumu.
Hao watakuwa ni wahuni wenzake amewadhulumu.
Nani amshambulie jambazi mkongwe kiasi hicho! hao ni wezi wenzake amewa stage ili kujipa promo baada ya kugundua wana A.Town wamemstukia na wanataka kumtosa ubunge kwa kuwadanganya mambo mengi na yote kuishia kwenye maandamano yanayokosesha wananchi vipato kwa vurugu na kupora mali.
Pesa Lema alizopata baada ya kuuza trekta na Ambulance za Wana Arusha anafanyia starehe
Mbunge wetu wa Arusha ameendeleza vituko baada ya kupiga risasi hewani muda huu hapa jijini Arusha kutoka kilipo kituo cha polisi mpaka alipo pigia risasi ni mita kama Mia tano kisa ni baada ya kukutana na msafara wa ccm hali ya chadema ni mbaya sana Arusha na hizi fujo za lema zinaharibu zaidi
Yaani majambazi yanaponyoka bila hata kutoa funzo kwa moja? Kumbe Mara wameamka.Wakuu,
Taarifa za muda huu ni kwamba CCM wamevamia gari la Mh. Mbunge wa Arusha mjini maeneo ya Clock Tower wakati anaelekea nyumbani kwake njiro.
Wakati anapita Mnara wa saa, ghafla wakatokea maccm yakiwa na watu wenye sura ngumu kama banyamulenge, wakaanza kushambulia gari la mbunge huku wakimweleza kwamba wewe ndiye nuksi hapa Arusha, lazima tukukomeshe. Bahati nzuri wakatokea wananchi wazalendo wakaanza kuwashambulia hao banyamulenge wakakimbia zao.
Hivi sasa Mh Lema anaandika maelezo polisi