Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
ngoja nijaribu tena masai dada
Faster tunaisubiri hiyo link
Last edited by a moderator:
ngoja nijaribu tena masai dada
Nawewe ni mmoja wa hao kina mama etieeMkuu watu walikuwa na Imani na LEMA ila baada ya kubaini ulaghai, ufisadi, uhuni wake! kila mtu anamuona wa ajabu!
akinamama wa sokoni pale NMC hawataki hata kumuona, na ndio waliokuwa supporters wake wakuu!
UnavurugwaKwa kupiga risasi hewani LEMA alisababisha hasara kubwa sana na usumbufu kwa raia wa Tanzania na wa kigeni waliokuwa wamepumzika Hotelini NEW ARUSHA.
Pia watalii waliokuwa maeneo hayo wameondoka wakiwa na taswira mbaya sana kuhusu Arusha!
LEMA wakati mwingine tumia busara. Kumiliki bastola sio lazima urushe rushe risasi ovyo!
Kwa kupiga risasi hewani LEMA alisababisha hasara kubwa sana na usumbufu kwa raia wa Tanzania na wa kigeni waliokuwa wamepumzika Hotelini NEW ARUSHA.
Pia watalii waliokuwa maeneo hayo wameondoka wakiwa na taswira mbaya sana kuhusu Arusha!
LEMA wakati mwingine tumia busara. Kumiliki bastola sio lazima urushe rushe risasi ovyo!
Maccm wanaozipiga risasi na mabomu na kung'oa kucha na meno kila kukicha wanaleta taswira nzuri kwa watalii?
Sio kwa ajili anamiliki bastola ndio awaonee wananchi wanyonge kwa kuwatishia kuwapiga risasi.
Plus kupigia kisomo!
lema kila ianapokaribia
uchaguzi lazima afanye kituko kutafuta sympathy ya kura, ameshaona watu
wa arusha wanadanganyika kwa mbinu zake, ipo siku atajipiga risasi na
kusingizia sisiem ili aonewe huruma, this guy is a disgrace,
apuuzwe
Naona wamechokoza sehemu isiyo sahihi ole wao naona wamebep ngoja tuwapigie.
Chama cha majambazi kazini!
We mangi ndo umepitwa na wakati kweli kweli! nikutizama kifikra tu nakuona umevaa kaunda suti na raba, unaendesha toyota staut old model, na christmas hii utapandisha milimani na makochi kwe staut yako na baada ya sherehe utarudi nayo mjini.We hujui hata escrow kuwa haimhusu Lema wala Chagadema, nikukumbushe tu.
1.Mtoa hoja Kafulila-alifukuzwa chadema.
2.Mwenyekiti PAC-Mhe.Zitto, alifukuzwa chagadema.
3.CAG aliyefichua uozo-kateuliwa na serikali ya ccm.
4.wajumbe Filikunjombe,Kigwangala,Lugola,Mpina na wengine zaidi ya nusu ni wa ccm!
Sasa kwa wenzio wameshastuka kuitumia escrow kama mtaji wa chagadema bali wewe bado hujitambui! escrow haikuletwa na chadema.na sio ajenda ya kuleta maendeleo kwa wagombea wenu waseme vision yao ya 2015-2020. usimshabikie jambazi LEMA hana ishu zaidi ya maandamano na wizi wa magari.