Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
- Thread starter
- #81
polisi walipokuja ilikuaje wakaachia hawa jamaa na marungu na mipini wakakimbia na wakati walikua bado hawajasambaa na kuna gari mbili ziliwajaza hawa jamaa voxy na vx zilipita mbele yao??
aliyemuua aliyrkuwa mwenyekiti wa chadema kata ya usa alikimbia mbele ya askali 8 na kati yao wanne walikuwa na smg...hivyo usishangaa hawa kutokukamatwa...