Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Habari zenu wana sayansi na teknologia,
najua wengi wetu baada ya kuona hiyo headline kama kawaida mawazo moja kwa moja yameenda kwenye yaleeeeee... mambo yetu yale!!!!! ha ha ha teh teh teh,
Anyways tuyaache hayo, mimi nina swali langu hapa,
Bila shaka wote tunakifahamu kifaa kiitwacho Speedometre ambacho hufungwa kwenye vyombo vya usafiri kwa ajili ya kupimia mwendo kasi wa chombo husika, yaani kwa mfano kama gari inasafiri katika kasi ya km 80 kwa saa mshale kwenye kifaa hicho utatulia kwenye namba 80.
Tunajua pia kwamba magurudumu ya gari ndogo mfano toyota duet ni madogo ukilinganisha na ya gari kubwa kama scania,
Tunajua pia kwamba mzunguko (circumference) wa tairi ya gari kubwa ni mkubwa kuliko wa gari ndogo, sasa swali langu ni kwamba kama gari zote kubwa na ndogo zikiendeshwa katika kasi sawa, yaani km 80 kwa saa (kwenye mshale), zitakuwa zikienda kwa kasi sawa ya barabarani? ukizingatia tofauti ya ukubwa wa magurudumu.
Ni matumaini yangu kuwa swali langu limeeleweka?
najua wengi wetu baada ya kuona hiyo headline kama kawaida mawazo moja kwa moja yameenda kwenye yaleeeeee... mambo yetu yale!!!!! ha ha ha teh teh teh,
Anyways tuyaache hayo, mimi nina swali langu hapa,
Bila shaka wote tunakifahamu kifaa kiitwacho Speedometre ambacho hufungwa kwenye vyombo vya usafiri kwa ajili ya kupimia mwendo kasi wa chombo husika, yaani kwa mfano kama gari inasafiri katika kasi ya km 80 kwa saa mshale kwenye kifaa hicho utatulia kwenye namba 80.
Tunajua pia kwamba magurudumu ya gari ndogo mfano toyota duet ni madogo ukilinganisha na ya gari kubwa kama scania,
Tunajua pia kwamba mzunguko (circumference) wa tairi ya gari kubwa ni mkubwa kuliko wa gari ndogo, sasa swali langu ni kwamba kama gari zote kubwa na ndogo zikiendeshwa katika kasi sawa, yaani km 80 kwa saa (kwenye mshale), zitakuwa zikienda kwa kasi sawa ya barabarani? ukizingatia tofauti ya ukubwa wa magurudumu.
Ni matumaini yangu kuwa swali langu limeeleweka?