Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

Mi nadhani hawajui idadi na wala hawana hakika anapita njia gani.

Wamenitia jambajamba leo pale africana sinaa hamu, utadhani hawajui bosi anapita wapi.

Kidogo wengine tuambiwe tuingie mitaroni kuupa nafasi msafara, na hao ni wale ni matrafiki wanaokuwa kwenye defender la msafara.

Nikabaki nashangaa, hao matrafiki waliokuwa barabarani hawakujua route ya mkuu? Hadi turushwe kichura na defender la mkuu? Yaani mie niliona aibu utadhani ndio nasimamia ile kazi.

Basi tu, mkuu analindwa na Mungu.

Any clue kama kabla Rais hajapita, traffic wa barabara atakayopita huwa wanajulishwa kuwa msafara utakuwa na magari mangapi na ya aina gani?

Au kila msafara ya Rais huwa unakuwa na idadi ya magari ambayo inajulikana na traffic?

Au traffic wanaambiwa tuu wapige deki barabara Rais anapita?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Msafara kuwa mrefu AMA mfupi haiwezi kuwa ndo sababu ama chanzo cha ajali tena aliyegongwa ni msimamizi wa utaratibu huu ni ukosefu wa adabu kwa baadhi ya madereva na kujiona ya kuwa wana haraka kupita wenzao ama kwamba wao ni waelewa zaidi kuendesha barabarani na hii ni kukosa ustaarabu kujiona ya kuwa unayo Haki ya kupata hata Kama ni huduma Kabla ya mwenzio uliyemkuta mbele yako kumbe ungekuwa wa kawaida na kumjali aliyekutangulia hata Kama ni sehemu ya kupewa huduma kwa foleni haya yote yasingetokea tier wastaarabu wa kuvumiliana na kumjali aliyeko mbele yako chukulia kuwa anayo haki sawa na wewe...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Any clue kama kabla Rais hajapita, traffic wa barabara atakayopita huwa wanajulishwa kuwa msafara utakuwa na magari mangapi na ya aina gani?

Au kila msafara ya Rais huwa unakuwa na idadi ya magari ambayo inajulikana na traffic?

Au traffic wanaambiwa tuu wapige deki barabara Rais anapita?
Great questions! Lakini vyovyote itakavyokuwa, kama lile gari halikuwa kwenye msafara, na tayari trafic alishaamua kuruhusu magari ya upande mwingine, then ni wazi kwamba alikuwa anajua idadi kamili ya magari yaliyopo kwenye msafara wa Rais. ndiyo maana ilipoisha tu aliruhusu magari mengine yaendelee. Maana kwa maelezo yaliyotolewa jana ni kwamba aliyemgonga, alikuwa anakwepa kugonga magari ya upande mwingine ambayo yalikuwa tayari yamesharuhusiwa. Katika kuyakwepa hayo ndiyo akamvaa trafic.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mi nadhani hawajui idadi na wala hawana hakika anapita njia gani.

Wamenitia jambajamba leo pale africana sinaa hamu, utadhani hawajui bosi anapita wapi.

Kidogo wengine tuambiwe tuingie mitaroni kuupa nafasi msafara, na hao ni wale ni matrafiki wanaokuwa kwenye defender la msafara.

Nikabaki nashangaa, hao matrafiki waliokuwa barabarani hawakujua route ya mkuu? Hadi turushwe kichura na defender la mkuu? Yaani mie niliona aibu utadhani ndio nasimamia ile kazi.

Basi tu, mkuu analindwa na Mungu.

Kama hawajui inaweza kuwa hatari aisee.

Maana mtu mwenye nia mbaya anaweza kuunga tela anaibukia Ikulu then ana-commit suicide bombing humo humo ndani.
 
Great questions! Lakini vyovyote itakavyokuwa, kama lile gari halikuwa kwenye msafara, na tayari trafic alishaamua kuruhusu magari ya upande mwingine, then ni wazi kwamba alikuwa anajua idadi kamili ya magari yaliyopo kwenye msafara wa Rais. ndiyo maana ilipoisha tu aliruhusu magari mengine yaendelee. Maana kwa maelezo yaliyotolewa jana ni kwamba aliyemgonga, alikuwa anakwepa kugonga magari ya upande mwingine ambayo yalikuwa tayari yamesharuhusiwa. Katika kuyakwepa hayo ndiyo akamvaa trafic.

I hope they knew in advance idadi ya magari kwenye presidential motorcade.

Jana kuna mdau hapa alikuwa anasema kuwa traffic wa nyuma huwa anamtaarifu traffic wa mbele yake kuwa gari ya mwisho imepita.

Sijui kama alikuwa sahihi lakini assume alikuwa hiyo gari ilipitaje kwenye matraffic wa nyuma kwa speed yote hiyo mpaka kuja kumgonga marehemu?

Kama walikuwa wanajua idadi ya magari kwenye msafara, traffic wa nyumba hawakumshtua marehemu kuwa kuna jamaa kaunga tela anakuja fasta so walio mbele wawe makini?

Au jamaa aliunga tela katikati ya traffic wa nyuma na marehemu?
 
aaah wapi! yule muuwaji tu Mungu wangu hakuwa na nia hiyo, ila dereva wa ile gari ni muuwaji nilikuwepo eneo la tukio,uendeshaji ule ni hatari kwa watu wote, lala mahali pema dada yangu ulijitahidi kuokoa uhai wako ila dereva alikupania,

alijtahdije kuokoa uhai wake? Ebu 2eleze mkuu
 
Kama nakumbuka vizuri Sumaye alipokuwa angombea uraisi aliaidi kuwa KAMA ANGECHAGULIWA KUWA RAISI ANGETUMIA HELKOPTER BADALA YA MAGARI KUPUNGUZA FOLENI...kwani sasa hapa mjini foleni KUKITOKEA MSIBA tunalo wajameni,...
 
Magari mengi ya usalama hayana stiker yoyote mbele


Hapo amuoni kuwa ili gari lilikuwa la usalama? lakini watu watatumika ili kucover hii issue

Kama Tina umefanikiwa kupiga picha gari zima nioneshe ilipo stiker za gari:nono::nono::nono:



Acha uzushi mkuu, Gari la mwisho kwenye msafara wa Rais na la kwanza huwa yanakuwa ya polisi tena ni zile defender za wazi na kwa mujibu wa mashuhuda gari hiyo ya mwisho ilikuwa imeshapita ndipo huyo Trafic akajulishwa kwa radio call na wenzake kuwa msafara umeisha na ndipo akaingia katoikati ya barabara kuendelea kuongoza magari.

Hayo mambo ya sticker sio hoja, hilo ni kosa binafsi la mwenye gari. Acha kuendeshwa na fikra zako mkuu simamia ukweli.
 
Traffiki anajua idadi ya magari yaliyopo kwenye msafara.ndiyo maana baada ya gari la mwisho kupita aliingia barabarani kuogoza magari.Huyu aliyeunga msafara wa rais hakujua kama kuna utaratibu hapa
JF bana wakati mwingine ni umbeya tupu.

Mbona jana tuliaminishwa hapa JF kuwa gari iliyomgonga ilikuwa kwenye msafara wa Rais Kikwete na watu kwa hasira wakarusha makombora ya matusi na dharau.
La muhimu, magari ya kwenye msafara wa Rais kidogo yangekuwa yanakuwa machache ili iwe rahisi kwa traffic polisi kuongoza.

Anyway, haijarishi gari ilikuwa ni ya nani. Kuna familia kwa sasa ina omboleza.
 
Tutaamini vipi kuwa gari hiyo haikuwa kwenye msafala kj...
 
Traffiki anajua idadi ya magari yaliyopo kwenye msafara.ndiyo maana baada ya gari la mwisho kupita aliingia barabarani kuogoza magari.Huyu aliyeunga msafara wa rais hakujua kama kuna utaratibu hapa
Ok, Nimekuelewa vizuri.
Thanks
 
Hiyo gari haijamgonga binadamu......gari iliyogonga mtu lazima iwe na mbonyeo au kioo kupasuka au mahali fulani kuwa tofauti na kabla ya kugonga mtu.
 
hawa wote lazima waisaidie polisi, wamesababisha watu sasa wawe tegemezi wakati yule mama ndo alikuwa kichwa cha familia.
yes, lakini sheria za traffic haziko hivyo braza, upelelezi utaendelea hadi dereva aliyekuwa anaendesha gari siku ya tukio akamatwe; owner wa gari hana mashtaka ya kusababisha kifo na ndiyo maana gari lina leseni ya barabara, bima na dereva lazima awe na leseni.
 
Traffiki anajua idadi ya magari yaliyopo kwenye msafara.ndiyo maana baada ya gari la mwisho kupita aliingia barabarani kuogoza magari.Huyu aliyeunga msafara wa rais hakujua kama kuna utaratibu hapa
ndiyo maana unaambiwa katika kila kazi yeyote ile angaria risk....

risk haijaandikwa kwenye sheria, ni sawa na wewe unaona gari inakuja kwa kasi kwenye alama za pundamilia then unaweka tumbo lako just because sheria inakuruhusu - hapa lazima uende kwa islael mtoa roho.

sheria zitafuata lakini wewe utakuwa upo ahera.
 
JF bana wakati mwingine ni umbeya tupu.

Mbona jana tuliaminishwa hapa JF kuwa gari iliyomgonga ilikuwa kwenye msafara wa Rais Kikwete na watu kwa hasira wakarusha makombora ya matusi na dharau.
La muhimu, magari ya kwenye msafara wa Rais kidogo yangekuwa yanakuwa machache ili iwe rahisi kwa traffic polisi kuongoza.

Anyway, haijarishi gari ilikuwa ni ya nani. Kuna familia kwa sasa ina omboleza.

serikali yetu yenyewe haieleweki, ninachoamini ilo gari lililomgonga huyo mwana mama lilikuwa kwenye msafara na hapa wanafanya kutuhadaa tuu kama ilivyo kawaida kwa serikali yetu
 
Back
Top Bottom