Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

Mbona hii gari haina stika hata moja kwenye kioo,au zimebandikwa kwenye kioo kidogo cha nyuma

Mkuu. nilikuwa mzito sana kuchangia mada hii. Hivi ni kweli gari hii haikuwa kwenye msafara wa JK? Kuna watu walio na picha ya gari hii kwa pande zote za vioo? kama yupo atusaidie kuzianika hapa. nina wasiwasi bado na gari hii, kama ni ya mchungaji au mtu mwingine yoyote.:frusty:
 
Wengine wanayatoa kwa kutumia majina yao, wewe utatumia jina la nani kuyatoa?

Sijawahi kusikia anaetumia jina lake kutoa mapepo, mfano akasimama kwenye madhabahu akakemea pepo kwa kusema we pepo nakuamulu kwa jina la Mwingira toka, ama nakuamuru kwa jina la Kakobe na mzee wa upako toka, hama kwa jina la mama Rwakatare. So kwa kuwa sijasikia hiyo kitu nitatumia jina lililo kuu kupita majina yote, jina la Yesu Kristo Mnazareth
 
Sijawahi kusikia anaetumia jina lake kutoa mapepo, mfano akasimama kwenye madhabahu akakemea pepo kwa kusema we pepo nakuamulu kwa jina la Mwingira toka, ama nakuamuru kwa jina la Kakobe na mzee wa upako toka, hama kwa jina la mama Rwakatare. So kwa kuwa sijasikia hiyo kitu nitatumia jina lililo kuu kupita majina yote, jina la Yesu Kristo Mnazareth

Wengine wanataja farasi, wengine wanataja magari, bali sisi tutalitaja jina la Mungu wetu. Mimi sijawataja hao uliowataja wewe, ila wapo manabii wa uongo ambao Yesu Kristo mwenyewe alituonya kuwa watakuja na kufanya ishara nyingi. Kwa hiyo wapo wanaotumia majina yao.

Nikushukuru sana kwa kuwa umesema kama utasomea U-Pastor basi utatumia jina la Yesu Kristo Mnazareth.
 
Mkuu unaweza kubadirisha hiyo avatar yako kwa heshima ya jf ? Ni maoni yangu tu mkuu.

ahsante mkuu kwa ushauri wako wa kutaka nibadirishe avatar, ila kwasababu umeonesha wewe unaweza ni mkuria ambaye kwenye l anaweka r na kinyume chake pia utakuwa ni mtani wangu, na ombi lako linafikiriwa. Pia kama wewe unapenda rangi ya mtetea aliyelaliwa pole, huo ni ukweli. Au utapenda nikiweka jogoo liwe CDM na tetea liwe Chichiem, teh teh teh teh!!!!!!!!!!!!! 😛eace:😛eace:
 
Swali langu hiyo gari iliingiaje wkt iko na private namba ?? Ni moja ya sababu iliyo mfanya trafic huyo maskini (inna llilaah wa inna illah rajiun) kuwa na shaka na kutaka kuzuia gari hizo kiusalama
 
Back
Top Bottom