Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

Hio ni traffic case,faini elfu 20

sheria zao ndo zinawamaliza, traffic kusimamisha gari inabidi asimame katikati ya barabara. na ubabe wao wanakusimamisha bila kuangalia speed uliyo nayo. mia
 
Sema Wtz tunapenda sana short cut na hizi ndo side effect zake "alwyz short cut is a wrong cut"
 
Askofu ameshindwa kuomba gari lake lisikamatwe?
 
hiyo gari ya mchungaji ilikuwa inafuata nini kwenye huo msafara!
 
Wakubwa, si mmeambiwa msubiri? hadithi nyingi za nini, subirini baadae!!!
 
umenena mkuu sijui na mbinguni watasindikizwa hivihivi?????????

lol. Una visa wewe. Ila umenikumbusha Kwaya ya Ujinjilisti ya Arusha

Siku hiyo kila mtu atauchukuwa mzigo wake mwenyewe.

Kwa stahili hiyo hata kama kutakuwa na wasindikizaji nao watakuwa ni mizigo yao.

Hata waunga tela watakuwa na mizigo yao.

 
Last edited by a moderator:
:rip: bwana ametwa bwana ametwa jina lake lihimidiwe.
aaah wapi! yule muuwaji tu Mungu wangu hakuwa na nia hiyo, ila dereva wa ile gari ni muuwaji nilikuwepo eneo la tukio,uendeshaji ule ni hatari kwa watu wote, lala mahali pema dada yangu ulijitahidi kuokoa uhai wako ila dereva alikupania,
 
Whoever aliyekuwa akiendesha hiyo gari nae alikuwa kwenye msafara?

Msafara wa Rais ni mrefu mno kiasi kwamba hata ukiunga tela hushtukiwi.

Kuna umuhimu wa ku-modernise jinsi Rais anavyolindwa.

Msafara mrefu unahatarisha usalama wa walioko kwenye msafara kuliko kulinda usalama wao.

Hakiya Mungu kuna siku tutasikia Mh. Rais amepigwa Kabali na Vibaka Buguruni. Jitu linaunga kwenye Msafara wa Mh. Rais halafu Walinzi haaaa poa tu huyu anatakiwa akatandikwe viboko kabla kesi haijaanza. Hilo moja pili sheria za vyombo vya moto iko lose sana, dereva adadiriki kumwambia mtembea kwa miguu nitakugonga nikakulipe elfu ishirini mahakamani. Just imagine adhabu ndogo inawafanya hawa madereva wasijali sheria, TUSIRITHI KILA KITU TOKA KWA WAZUNGU WENZETU WALISTAARABIKA SIKU NYINGI. SHERIA ZA BARABARA ADHABU YAKE IFIKE HADI VIFUNGO VYA MAISHA, ILI TUSHIKE ADABU.

 
  • Thanks
Reactions: EMT
That's mean Mchungaji kaua askari? What a tragedy.. Oooh lord


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hilo moja pili sheria za vyombo vya moto iko lose sana, dereva adadiriki kumwambia mtembea kwa miguu nitakugonga nikakulipe elfu ishirini mahakamani.

Na mtembea miguu anamjibu dereva, nigonge basi uone na jamaa anamgonga kweli.
 
Back
Top Bottom