Gaddafi (Qaddafi) yuko sahihi?

Gaddafi (Qaddafi) yuko sahihi?

Hicho kitabu kidogo ni United Nation Charter,Jamaa anajaribu kuonyesha kuwa UN inaendeshwa kinyume na madhumuni yaliyokusudiwa...Atmosphere kwenye room sio nzuri watu wengi wametoka na hali ipo tense!
 
Wapambe wake kabla hajatinga New York walikuwa wanahaha kumtafutia sehemu yenye nafasi ya kutosha ili asimike Turubai lake la Kibedui kama kawaida yake. Sijui aliishia wapi na jambo hilo, maana jamaa huwa hataki kulala ndani ya mahoteli.
 
Nenda CNN.com live utamsikia

Libyan leader Moammar Gadhafi addresses U.N.
Watch Now: on CNN TV or Live on CNN.com »
 
Hicho kitabu kidogo ni United Nation Charter,Jamaa anajaribu kuonyesha kuwa UN inaendeshwa kinyume na madhumuni yaliyokusudiwa...Atmosphere kwenye room sio nzuri watu wengi wametoka na hali ipo tense!
Naona kweli a lot of empty seats. Isn't he speaking past his alloted time?
 
Naona anageuza kurasa tu, sijui anazungumzia nini maana sauti imeminywa.
 
I love this guy, he does not mince his words, he goes charging full masinondo!

Siyo wale kina nanihii ambao hawaishi kutoa sifa na shukrani huku wakikinga bakuli na kulia lia tupewe misaada!
 
I love this guy, he does not mince his words, he goes charging full masinondo!

Siyo wale kina nanihii ambao hawaishi kutoa sifa na shukrani huku wakikinga bakuli na kulia lia tupewe misaada!

Not mincing what words? He's just rambling...now he's talking about jetlag and being tired...what the hell is that supposed to mean or do with the UN?
 
Not mincing what words? He's just rambling...now he's talking about jetlag and being tired...what the hell is that supposed to mean or do with the UN?

kwi!kwi!kwi!
I tried to follow but I could not keep up.
 
Not mincing what words? He's just rambling...now he's talking about jetlag and being tired...what the hell is that supposed to mean or do with the UN?

With Jetlag and expenses and all that mmechoka, sijui magaidi, he lost me. I liked when he was talking about AU to get a permanent seat kwenye Security Council na kudai haki zetu si kama Mzee Matonya, bali kutaka tuwe na nafasi sawa kiuzalishaji na kwenye soko (kura).
 
Jamani Mkalimani ndio alikuwa na kigugumizi na kutoa maana mbovu. You got to love the Green Book of Jamhuriya Ala Arab LIbya!
 
Yaani kwawachana marekani mpaka CNN wamemkata angalia LIVE ONLINE anaendelea. Anataka hata BUSH ahukumiwe kuivamia Iraq...
 
Amewaomba wamarekani waondoke salama Iraq maana hata siku moja Iraq haitawaliki kwa remote...wawaachie wairaq wenyewe...
 
point zake zingine zimetulia zingine ziko nje ya mstari ila kaonesha courage ya freedom of speech na kile anachoamini kuwa ni haki, viongozi wengi hasa wa africa ni waoga.
 
Makubwa haya. Hata kifo cha Kennedy na nani aliyemwua anataka Umoja wa mataifa upeleleze au uelezwe. Nani alimwandikia hiyo spichi?
 
Back
Top Bottom