Fuvu la mtu wa kale

kuna ukweli Fulani kuhusu binadamu wa kale kuwa wakubwa kuliko wa sasa. Niliwahi kwenda makumbusho ya mfalme ya nchi moja ya ulaya kuna vitu vya kifalme miaka ya kabla ya Yesu vimehifadhiwa kuna nguo za kivita za chuma ambazo hazipitishi mikuki zilikuwa ni kubwa ile fulana ya chuma ukivaa binadamu wa sasa ni kama umejifunika hema pia kofia zao za kivita za chuma ukivaa unaenda mpka chini jinsi zilivyokuwa nzito
Gosernberg Castle
 
Apa ndugu umeongeza chumvi
Kaka tafuta hela nenda mwenye Misri ukashuhudie haya ma pyramids yalivyojengwa wakati huo.
7552001-corner-of-big-piramid-in-giza-egypt.jpg
 
Genetic hubadilika kizazi kwa kizazi; hapa tunaongelea miaka Mamillion yaliyopita; pia kumbuka miaka hiyo kulikuwa hakuna clinic, Mama anajifungua mtoto asubuhi tena peke yake anakata kitovu, ikifika mchana mtoto anatembea freshi tu na mama anapiga kazi kama kawaida.

Pia kipindi hicho binadamu wa kale walikuwa hawakai sehemu moja, sasa unakuta wanatoka lets say Africa leo asubuhi, kesho yake ameshafika America au Asia.
hahaha
 
Wanawake wa kipindi hicho walikuwa na shida sana kwa upande wa kugegedwa maana sipati Picha mashine za hayo majitu watu.Nahis vibamia vya kipindi hicho ndio leo tunajivunia kuwa fulani ana mpini.
 
Genetic hubadilika kizazi kwa kizazi; hapa tunaongelea miaka Mamillion yaliyopita; pia kumbuka miaka hiyo kulikuwa hakuna clinic, Mama anajifungua mtoto asubuhi tena peke yake anakata kitovu, ikifika mchana mtoto anatembea freshi tu na mama anapiga kazi kama kawaida.

Pia kipindi hicho binadamu wa kale walikuwa hawakai sehemu moja, sasa unakuta wanatoka lets say Africa leo asubuhi, kesho yake ameshafika America au Asia.

Sawa ila paragraph ya mwisho sijaiona nimeshukia Kibaha.
 
Mwisho kabisa, hakuna mtu ayajejua tangu Mwenyezi Mungu aiumbe Dunia na ulimwengu Je imefikia miaka mingapi imeshatimia?? kinachofanywa ni makadirio tu.

Kuna vitu vingi sana katika Solar System havijagundulika hadi sasa, ila vina exist - Mungu atawapa taratibu taratibu - Mkizidi sana anaminya uelewa wenu.
 
Huyo ndiye Mungu ambaye akili zake hazichunguziki.
Kaka hili dude (Dunia) tuliomo ni kubwa mno ; Zito la ajabu, na sisi tumeganda juu yake, linazunguka Jua na linajizungusha lenyewe - Sasa tangu limeumbwa hili dude halijawahi kusimama hata sekunde moja - miaka millions of millions.

Aisee huwa nikifika hapa - napiga magoti maana there should be a very powerful creator of all these things, Mungu.
 
Genetic hubadilika kizazi kwa kizazi; hapa tunaongelea miaka Mamillion yaliyopita; pia kumbuka miaka hiyo kulikuwa hakuna clinic, Mama anajifungua mtoto asubuhi tena peke yake anakata kitovu, ikifika mchana mtoto anatembea freshi tu na mama anapiga kazi kama kawaida.

Pia kipindi hicho binadamu wa kale walikuwa hawakai sehemu moja, sasa unakuta wanatoka lets say Africa leo asubuhi, kesho yake ameshafika America au Asia.
Uongoooo
 
Kaka hili dude (Dunia) tuliomo ni kubwa mno ; Zito la ajabu, na sisi tumeganda juu yake, linazunguka Jua na linajizungusha lenyewe - Sasa tangu limeumbwa hili dude halijawahi kusimama hata sekunde moja - miaka millions of millions.

Aisee huwa nikifika hapa - napiga magoti maana there should be a very powerful creator of all this things, Mungu.
Limewahi simama broo.. we pitiapitia maandiko ijajua tu
 
Genetic hubadilika kizazi kwa kizazi; hapa tunaongelea miaka Mamillion yaliyopita; pia kumbuka miaka hiyo kulikuwa hakuna clinic, Mama anajifungua mtoto asubuhi tena peke yake anakata kitovu, ikifika mchana mtoto anatembea freshi tu na mama anapiga kazi kama kawaida.

Pia kipindi hicho binadamu wa kale walikuwa hawakai sehemu moja, sasa unakuta wanatoka lets say Africa leo asubuhi, kesho yake ameshafika America au Asia.
Mkuu huu uongo umeutoa wapi?..binadamu hajaishi miaka mamilioni yaliyopita bali ni miaka malaki tu..pili movement ya watu toka bara moja kwenda jingine ilichelewa sana kutokana na technology kuwa duni sasa bushman wa south Africa atafikaje south America kwa siku mbili?walikuwa wanapaa au?

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huu uongo umeutoa wapi?..binadamu hajaishi miaka mamilioni yaliyopita bali ni miaka malaki tu..pili movement ya watu toka bara moja kwenda jingine ilichelewa sana kutokana na technology kuwa duni sasa bushman wa south Africa atafikaje south America kwa siku mbili?walikuwa wanapaa au?

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
ndiyo maana nakwambia hakuna mwadamu ajuaye dunia hii imekuwapo miaka mingapi pia hakuna mwanadamu ajuaye sisi wanadamu tupo kizazi cha ngapi toka kwenye ile pure human genetic, kinachofanyika ni makisio tu ya kisayansi.
 
Nabii Adam alikua na urefu wa futi 60
Hakuna mwenye records sahihi mkuu; haya yote ni makisio tu; lakini jua tu kwamba hawa binadamu walikuwa na uwezo wa kutembea kutoka bara moja hadi jingine; waliishi misituni wakila matunda na wanyama.

Sasa yawezekana binadamu hawa walikuwa wakubwa zaidi na akili yao ilikuwa si ya kawaida, waliishi hadi miaka 5000. Kizazi cha kina nabii Mussa ndiyo wakaanza kuishi miaka 800 hadi 1000.

Sasa wewe leo ukifika 80 bahati.
 
kuna ukweli Fulani kuhusu binadamu wa kale kuwa wakubwa kuliko wa sasa. Niliwahi kwenda makumbusho ya mfalme ya nchi moja ya ulaya kuna vitu vya kifalme miaka ya kabla ya Yesu vimehifadhiwa kuna nguo za kivita za chuma ambazo hazipitishi mikuki zilikuwa ni kubwa ile fulana ya chuma ukivaa binadamu wa sasa ni kama umejifunika hema pia kofia zao za kivita za chuma ukivaa unaenda mpka chini jinsi zilivyokuwa nzito
Maybe za Goliath. Daudi mwenyewe alipovishwa alijionea uzushi tu akakataa.
 
kuna ukweli Fulani kuhusu binadamu wa kale kuwa wakubwa kuliko wa sasa. Niliwahi kwenda makumbusho ya mfalme ya nchi moja ya ulaya kuna vitu vya kifalme miaka ya kabla ya Yesu vimehifadhiwa kuna nguo za kivita za chuma ambazo hazipitishi mikuki zilikuwa ni kubwa ile fulana ya chuma ukivaa binadamu wa sasa ni kama umejifunika hema pia kofia zao za kivita za chuma ukivaa unaenda mpka chini jinsi zilivyokuwa nzito
Mmh!! Fulani km chuma
 
Kwamba walikua wanalala kwe vitanda vya 10 kwa 20?nahisi wangekuwepo mpk saivi kushona suruali yake moja ya kitambaa mwezi mzima ndo unamaliza uyo akipiga tambo mbili tu anatoka mwnz-dsm akijampa tz nzima tunaipata pata iyo harufu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom