Devil's Driver
Member
- Aug 14, 2013
- 64
- 20
uko sawa kabisa umeeleweka,lkn hawa Ukawa tatizo hawataki kujenga hoja na kuueleza ukweli,bali wao wanajua kutukana tu na kutetea waliyokaririshwa na viongozi wao!! Kuhama Lowassa wanaona washashinda uchaguzi kumbe lzm wajue kwamba wafuasi wengi wa ccm waliridhishwa na jina la Maguguli kuwa mgombea urais,hivyo kundi kubwa lililokuwa linamuunga mkono Lowassa liliweka silaha chini ila wakabaki wale waliokuwa wameahidiwa vyeo.