Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Ccm haijawahi kusema el ni msafi refer op magamba. Mkuu labda nikuulize na wewe sasa na huyo mwenyekiti wako leo ndio mnaona lowassa sio fisadi?
Lowasa angekuwa fisadi ni kwanini kwa muda wa miaka8 baada ya kujiuzuru kutoka nafasi ya pm hadi mwaka huu ccm walishindwa kumshitaki?hiyo inaonyesha kuwa lowasa ni msafi kabisa