Hilo lipo wazi. Na uamuz wa Lowasa kuruhusiwa chadema haujapangwa na wanachadema wengi ila ni maamuz ya Mbowe. Mimj kama mwanachadema nakubaliana nasera ya kulichukua dola ila sio kwa candidate kama Lowasa. Mbowe ametuuza
Mmasai hana unafiki akiwa rafiki yako ni rafiki wa kweli ukigeuza akawa adui umrudishi tena mngelijua hilo ccm lingeawasidia
Tactically, Lowassa should have defected a week before the elections and the UKAWA candidate should have been made to step down voluntarily for him. That would have been a real coup!
Hizi ni siasa, na priority iliyopo ni ccm waondoke madarakani kwa gharama yoyote! Mi ningewashangaa ukawa wangeacha hii nafasi ipite. After all chadema sio sawa na ccm kofia zote za Mwenyekiti na uraisi apewe mtu mmoja. Hapa kuna kidhibiti mwendo, mtu anaenda sambamba na ilani ya chama. Na katiba ikibadilishwa baasi!!