Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,666
- 830,569
Kama tukilitazama hili kwa jicho la kiimani tutasema shetani anaupiga mwingi na ametafuta plan B baada ile ya pale Eden kuingia dosari na watu kuanza kuugua, kuzeeka na kufa.. Kama kuna kitu kinawatisha washika imani basi ni kifo na ukomo wao umeishia kutumainia maisha mapya huko mbinguni baada ya kufa
Je kisayansi tunaliwekaje hili? Wenzetu wenye kuwaza zaidi walijiongeza pale imani ilipoishia na kutamani kupata suluhu ya kutokufa milele bila kufa kimwili
Ulimwengu wa dunia ijayo kutakuwa hakuna kufa tena LAKINI hii haitakuwa kwa wote bali kwa wenye uwezo wa kumiliki uhai mpya baada ya ule wa mwanzo kuchakaa, yaani uhai mpya utakuwa ni bidhaa adhimu ya kuuzwa kwa wenye uwezo
Je hii itawezekanaje? Naweza kuonekana chizi sasa hivi kwa hiki ninachokiandika lakini kuna wakati kitatamalaki sote tukiwa hatupo tena
Uhai mpya utapimiwa kwa kipimo cha muda na kila kipimo kitakuwa na ubora wake na sifa zake
Kipimo cha miaka 5 bila magonjwa wala uchakavu wa haraka nk
Kipimo cha miaka 10 bila magonjwa, bila njaa, bila kufanya update nk
Kipimo cha miaka 20 na kupata kila unachotaka, kuanzia size ya sehemu za siri
mpaka aina ya libido na kwa vipindi gani..
Hiyo ni mifano michache tu ya hayo yajayo yasiyawazika kwamba uatakuja kutokea na kuwa halisi
Kama haya yaliwezekana basi hata tunayoyawaza sasa kuna siku yatatimia.. Maisha bila kifo
Walianza na kupandikiza mimba ikawezekana
Wakaja na watoto wa chupa nalo likawa
Ikafuatilia kumtoa mtu nakala(cloning) nalo limewezekana
Lijalo kubwa ni hili la kuhifadhiwa kumbukumbu zako zote mpaka sura .. Hii ni updated version ya cloning.. Na likitokea la kukutokea fasta version yako iliyohifadhiwa inapandikizwa kwenye mwili mpya maisha yanaendelea
LAKINI
Haya yote yatakuwa kwa wenye uwezo wa kifedha tuu
Hakutakuwa na upendo kati ya mtu na mtu
Familia zitaparaganyika kwakuwa mzazi hatakuwa na uwezo wa kumgharamia kila mtoto version ya maisha mapya
Kwa kifupi population duniani itapungua mno kwakuwa hata kuzaana hakutakuwa kama huku kwa sasa
Watoto watazaliwa na mashine, zaidi ya vinasaba vya kijenetiki vinavyotengeneza muunganiko wa kibailojia na wazazi ambao hata hivyo nao utafanyika maabara, hakuna mahali mzazi mmoja atabeba mimba
Kutakuwa na watoto wa wazazi wa jinsia moja ama kutakuwa na watoto wa wazazi zaidi ya mmoja kutokana na vinasaba kutoka watu tofauti
Wazazi watapanga wanataka mtoto wa aina gani kuanzia kimo, maumbile rangi akili alama maalum nknk
Nina mengi ya kuandika kwenye hili lakini moja kubwa na la kutisha sana hakutakuwa na huruma, umoja, ujamaa upendo nk, na watu watakuwa na uwezo wa kutoa oda ya aina ya watu watengenezewe kwa matumizi yao binafsi
Dunia ya tatu itaangamia/itaangamizwa kwa kiwango kikubwa lakini watabakisha wachache kwa ajili ya majiribio yao na matumizi mengineyo kwa mahitaji yao.. Utumwa ujao urakuwa mbaya kuliko ulopita
Survival of the fittest will bare the real life!
Hatutaishi kuyaona haya pengine! Na waumini na waamini pengine hawatakuwepo tena huku dini ikiwa ni kitu kisichokuwepo tena kikibaki kama hekaya za simulizi za kufikirika
Je kisayansi tunaliwekaje hili? Wenzetu wenye kuwaza zaidi walijiongeza pale imani ilipoishia na kutamani kupata suluhu ya kutokufa milele bila kufa kimwili
Ulimwengu wa dunia ijayo kutakuwa hakuna kufa tena LAKINI hii haitakuwa kwa wote bali kwa wenye uwezo wa kumiliki uhai mpya baada ya ule wa mwanzo kuchakaa, yaani uhai mpya utakuwa ni bidhaa adhimu ya kuuzwa kwa wenye uwezo
Je hii itawezekanaje? Naweza kuonekana chizi sasa hivi kwa hiki ninachokiandika lakini kuna wakati kitatamalaki sote tukiwa hatupo tena
Uhai mpya utapimiwa kwa kipimo cha muda na kila kipimo kitakuwa na ubora wake na sifa zake
Kipimo cha miaka 5 bila magonjwa wala uchakavu wa haraka nk
Kipimo cha miaka 10 bila magonjwa, bila njaa, bila kufanya update nk
Kipimo cha miaka 20 na kupata kila unachotaka, kuanzia size ya sehemu za siri
mpaka aina ya libido na kwa vipindi gani..Hiyo ni mifano michache tu ya hayo yajayo yasiyawazika kwamba uatakuja kutokea na kuwa halisi
Kama haya yaliwezekana basi hata tunayoyawaza sasa kuna siku yatatimia.. Maisha bila kifo
Walianza na kupandikiza mimba ikawezekana
Wakaja na watoto wa chupa nalo likawa
Ikafuatilia kumtoa mtu nakala(cloning) nalo limewezekana
Lijalo kubwa ni hili la kuhifadhiwa kumbukumbu zako zote mpaka sura .. Hii ni updated version ya cloning.. Na likitokea la kukutokea fasta version yako iliyohifadhiwa inapandikizwa kwenye mwili mpya maisha yanaendelea
LAKINI
Haya yote yatakuwa kwa wenye uwezo wa kifedha tuu
Hakutakuwa na upendo kati ya mtu na mtu
Familia zitaparaganyika kwakuwa mzazi hatakuwa na uwezo wa kumgharamia kila mtoto version ya maisha mapya
Kwa kifupi population duniani itapungua mno kwakuwa hata kuzaana hakutakuwa kama huku kwa sasa
Watoto watazaliwa na mashine, zaidi ya vinasaba vya kijenetiki vinavyotengeneza muunganiko wa kibailojia na wazazi ambao hata hivyo nao utafanyika maabara, hakuna mahali mzazi mmoja atabeba mimba
Kutakuwa na watoto wa wazazi wa jinsia moja ama kutakuwa na watoto wa wazazi zaidi ya mmoja kutokana na vinasaba kutoka watu tofauti
Wazazi watapanga wanataka mtoto wa aina gani kuanzia kimo, maumbile rangi akili alama maalum nknk
Nina mengi ya kuandika kwenye hili lakini moja kubwa na la kutisha sana hakutakuwa na huruma, umoja, ujamaa upendo nk, na watu watakuwa na uwezo wa kutoa oda ya aina ya watu watengenezewe kwa matumizi yao binafsi
Dunia ya tatu itaangamia/itaangamizwa kwa kiwango kikubwa lakini watabakisha wachache kwa ajili ya majiribio yao na matumizi mengineyo kwa mahitaji yao.. Utumwa ujao urakuwa mbaya kuliko ulopita
Survival of the fittest will bare the real life!
Hatutaishi kuyaona haya pengine! Na waumini na waamini pengine hawatakuwepo tena huku dini ikiwa ni kitu kisichokuwepo tena kikibaki kama hekaya za simulizi za kufikirika



