Fuso Mayai Inauzwa

Fuso Mayai Inauzwa

Imechoka sana,milioni 40 ni nyingi kwa gari hiyo [I remain to be corrected]
Ungekuja kuiona, hiyo ni bei niliyoitoa mwanzo kwani sielewi bei za soko zipoje. Mimi si muuzaji wa magari bali hiyo ni yangu mwenyewe, tazama picha ya kadi nimekuwekea, na kwa sasa kazi tulizokua tunaifanyia zimekwisha na imekaa bure tumeamua kuiuza.

Kama unaitaka tutapatana. Maana jamii forum kama hujaiweka bei wanakuambia weka bei.

Biashara ni maelewano tu.

DSC_0042.JPG
 
Napenda biashara ya uwazi na ukweli.

Mwenye nia ya kununua aje aione aikague tusikilizane bei ya kuuziana.

Maneno ya kejeli na kebehi nahisi hayajengi bali yanabomoa.
 
Ninavyofahamu mimi ni shepu yake inakuwa haina engo. Inakuwa na mzunguko fulani kama ya lisivyo na engo.

Naweza kusahihishwa kama sio sawa.
Asante kwa jibu zuri. Nadhani kuna logic kwenye maelezo yako
 
Acha uwongo floow na shoo ya mbele kwa 200000,acha uwongo Bati bei gani,ufundi bei gani shoo hata kama ya plastick hupati

Sent using Jamii Forums mobile app
show inapatikana hata kwa laki 2 tatzo iyo show lazima uingie kwenye magaraje upate fuso iliorudi china au ununue kibini complete ambayo ni gharama
 
Ninavyofahamu mimi ni shepu yake inakuwa haina engo. Inakuwa na mzunguko fulani kama ya lisivyo na engo.

Naweza kusahihishwa kama sio sawa.
uko sahihi kuna zile nyingine kibini inaitwa 4angle
 
Napenda biashara ya uwazi na ukweli.

Mwenye nia ya kununua aje aione aikague tusikilizane bei ya kuuziana.

Maneno ya kejeli na kebehi nahisi hayajengi bali yanabomoa.

Bi Zainab umeongea maneno ya busara kama kawaida yako. Hawa wasema hovyo wasio na adabu tuwachie sisi.

Utakuta mtu hajawahi kuwa hata na ndoto ya kuwa na fuso analeta kejeli za kipunguani.
 
Bi Zainab umeongea maneno ya busara kama kawaida yako. Hawa wasema hovyo wasio na adabu tuwachie sisi.

Utakuta mtu hajawahi kuwa hata na ndoto ya kuwa na fuso analeta kejeli za kipunguani.
Kama una pesa nunua
Taarabu hazina nafasi yake hapa
 
watanzania tunapenda danganywa kweli, mtu kawa muwazi mil. 40 ni bei ya kuanzia na anawakaribisha muione na biashara ifanyike bado malalamiko ya kutosha

kila la kheri bi dada utapata mteja
 
We mwanamke mbona una majibu mabaya saana namna hiii?? Mbona unatusi watu! Baba yake hapo kaingiaje ,mbona unaharibu biashara ya watu ,kuwa na staha na maneno we ni MTU mzima ,ucmuudhi MTU usiye mjua


Sent using Jamii Forums mobile app

Wengine wana haki ya kuharibu biashara za watu? Kaone niliyemjibu, kaandika utumbo kuliko wewe.

Na hilo ni swali valid kabisa, baba'ko analo?
 
Back
Top Bottom