Nikiitengeneza sitaiuza.
Hakuna "utitiri wa hitilafu". Vitu vinavyohitajika vyote ni normal wear and tear. Kasoro show ya mbele tu ambayo nimeiulizia, original ya mtumba ni laki tatu na nusu.
Tairi zipo lakini si recommend kutumika kwa kazi.
Floor ya nyuma ni mbao tu za softwood ambazo na ufundi wake hazizidi 200,000 matengenezo yake.
Crane inafanya kazi, pulley na wire vimelika tu.
Engine, gear box, diff, vyote ni vizima kabisa. Unawasha gari na kuijaribu. Nimeweka wazi mambo yote ili nisisumbue mwenye kuihitaji.
Napenda kuuza kama ilivyo. Sina muda wa kusimamia matengenezo nilioyataja na niliacha biashara hiyo.
Karibu sana.