nellywilly90
Member
- May 21, 2015
- 36
- 15
Korosho tunduru, alizeti, tangawizi madaba, dagaa nyasakama kichwa cha habari kinavyoeleza naanza kama ifuatavyo.
1.RUVUMA.
mkoani ruvuma kuna kilimo cha mazao ya biashara kama kahawa katika wilaya ya mbinga, soya na ufuta hulimwa namtumbo, kuna biashara ya mahindi kutoa songea kupeleka mikoa mingine kwani wanazalisha sana mahindi, lakini pia unaweza kupeleka bidhaa mbalimbali za madukani ukauwauzia wenye maduka,
Ruvuma pia bidhaa za mtumba kama viatu, nguo za kike, mashuka vinanunuliwa sana.
Ruvuma wana kilimo cha mpunga wa kumwagilia katika wilaya ya namtumbo hasa vijiji vya kitanda.