Fursa za biashara kwa kila mkoa hapa nchini

Kuna mikoa kama mbeya na rukwa fursa kubwa unaweza kukusanya mazao ya chakula kama mahindi mpunga ufuta ngano nk Yana patikana kwa wingi weka stoo soko likipanda unatoa mzigo chapu lakn Fanya kuzama vijijini ndan kabisa usisubil walete mjin kwa mtaj wa milioni moja tu unatoka

Tabora biashara ya asali Inatoka tafuta kabisa watu special ambao ukifika tu wanakupa mzigo unaenda nao mikoa mingine kama mwanza Dodoma au dar lakn pia tafuta koneksheni ukifika tu unampatia mzigo mtu abaki anapambana ww unachukua chako unatembea kama huna soko utaanza kulanda Landa mtaan na usipate soko kwa mtaji wa m1 unafaa

Biashara ya Mbao hii inatosha kukutoa chini na kukuweka kweny Raman kwa mda mfupi mikoa karib yote Mbao zinapatikana kikubwa ni koneksheni na kutafuta vibari apa pia unaweza kutumia izo Mbao ukatengeneza Milango kwa bei nafuu Kisha ukaipeleka mjin ukauza kwa bei nzuri

Lakini pia kuna biashara ambayo ukiwa na mtaji mzur kwa mazingira yoyote ulipo inalipa ni biashara ya kuuza chakula apa unaweza kuanzisha mgahawan wenye hadha ya Kati classic kiaina kama mtaji upo ukauza vitu mix kwanzia asubuh supu chapati mandazi supu ya makongoro nk mchana na usiku vyakula vyote ukiwa na vinywaj barid inapendeza mtaji m1 mpak 5

NB hakuna biashara rahisi kila unacho Fanya kina changamoto nyingi mnoooo na utalajie hasara at anytime kwa wazee wa kupet na wataalam wa forex izi mambo sio ngen unapigwa ila no kukataa tamaa

If it's easy everybody could do it 👌
Ntajitaidi nije na bei ya mahindi mpunga ufuta na ngano kwa vijijini pia asali maana no data no rights to speak
Thanks 🙏
 
Naipendelea simiyu zamani(bariadi)ni mji unaoanza kuwa.naona watu wengi wanafanya biashara hasa za nguo,mazao na mengineyo.ila biashara za pale ni za msimu.

Kwa kua ni mji unaokua na kuona wajenzi wengi wanapenda tofali za kuchoma nikajaribu kwa mtaji mdogo tu
Tofali bichi sh.7@1
Kuni sh 50000 mapori mengi
Usafiri 20000 wa tela la ngombe. kuleta maji 10000.
Eneo nilipewa bure bada ya biashara niliwapa 20000 ya shukrani tu.
Wa kuchoma na kupanga niliwapa lak 1.
Nilichoma tofali 10000.
Mahesabu ni
7×10000+50000+20000+20000+100000+10000=370000
Mtaji ni 370000 fanya kuna tofal zitaharibika so weka 30000.pesa yote ya mtaji ni lak 4 mpaka tofali kuiva teyar kwa kuuzwa.

TWENDE KWENYE BIASHARA SASA

minimum tofali moja 120tsh
120×10000=1200000tsh

Kama bei ya kawaida 150 tsh
150×10000=1500000tsh

Ukitoa mtaji jibu utakua nalo umebaki na faida ya sh. Ngap

MUHIMU
hii biashara ni ya wakati wote ila bei zinapanda tokana na msimu.msimu wa mvua ndo tofali haikamatiki.msimu wa kiangazi bei inakua chini mana wapiga tofali ni wengi sana.

CHANGAMOTO
biashara hii siyo ya hapo kwa papo wakati mwingine inachukua mda mpaka kuja kuuza so kama huna shughuli ingine utataabika mzee.

Kama biashara yako itakua ni ya huakika na kuaminika utakula tenda nyingi mkuu na hizo ndo zinalipa hakuna mfano.sababu ukiweka mtaji mkubwa na faida inakua kubwa mfano ukiweka tofali laki moja faida utaipenda zaidi.
Pia kuna wale wanunuzi watofal chache chache hawanunui tanuru nzima waepuke wanavuruga malengo

Note:hii biashara nilifanya 2014 sijui kwa sasa bei zikoje
asante sana mkuu, umenipa pa kuanzia
 
skia,kama una mil.3 ×2=6mil hatuwez changa tukakodi hata jengo moja, tukaweka mtu wa diplo au certificate afu tukanunua dawa mbili tatu yaan panadol,na zle basic afu tukaendeleza taratbu ,,,u know what

listen,kati ya sekta za kuwekeza now adays ni afya,chakula,energy,education, na technology askwambie mtu hz issue znalipa n balaaaaa

tatzo letu wengi tunafanya uchuuzi na sio biashara yan leo ipo kesho haipo, just assume mtu unauza vinywaji kama vile maji ma soda hv utatoka leo kwl??

asee hili swala la afya nlikuwa naliwaza sana mpaka niqafikiria kifungua pharmacy,nkastop kwanza,sasa hii idea imekuja kuniamsha tena

i have a lot but lets end here.


Hii ndo naiona leo mkuu wangu nadhan shida ya notification...haya mambo yanawezekana mkitia nia...on a serious note biashara za uchuuzi zinachosha sana sana!
 
Hii ndo naiona leo mkuu wangu nadhan shida ya notification...haya mambo yanawezekana mkitia nia...on a serious note biashara za uchuuzi zinachosha sana sana!
so sad, nlihisi uliliona ukaIGNORE kama ulivonfanyia Pm ila anyway nilijiingiza kwny biashara ya usafirishaji na sasa nnapoandika haya nko na huzuni ya kupoteza milions zangu zaid ya hzo nilizoandka hapo.

anyway yote maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
so sad, nlihisi uliliona ukaIGNORE kama ulivonfanyia Pm ila anyway nilijiingiza kwny biashara ya usafirishaji na sasa nnapoandika haya nko na huzuni ya kupoteza milions zangu zaid ya hzo nilizoandka hapo.

anyway yote maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app


Duh pole sana mkuu hizo ndo changamoto angalia ulipojikwaa theb rekebisha endelea na safari..sijawah ignore pm boss .! Ni wewe tu haukuwa serious ..nikiona huko serious naachana na ww!
 
skia,kama una mil.3 ×2=6mil hatuwez changa tukakodi hata jengo moja, tukaweka mtu wa diplo au certificate afu tukanunua dawa mbili tatu yaan panadol,na zle basic afu tukaendeleza taratbu ,,,u know what

listen,kati ya sekta za kuwekeza now adays ni afya,chakula,energy,education, na technology askwambie mtu hz issue znalipa n balaaaaa

tatzo letu wengi tunafanya uchuuzi na sio biashara yan leo ipo kesho haipo, just assume mtu unauza vinywaji kama vile maji ma soda hv utatoka leo kwl??

asee hili swala la afya nlikuwa naliwaza sana mpaka niqafikiria kifungua pharmacy,nkastop kwanza,sasa hii idea imekuja kuniamsha tena

i have a lot but lets end here.
Mm niko tyr kujoin kama mhudum wa afya....carrier yangu mm n afya
 
Back
Top Bottom