Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
- Thread starter
- #61
😅😅Nshapata mchumba humu...ameelewa hustle zangu hana shida.@Cole Williasm nawaach nyie wasukuma miwivu had puani😏😏Wewe mwanamke umejua hela hutaolewa.
😅😅Nshapata mchumba humu...ameelewa hustle zangu hana shida.@Cole Williasm nawaach nyie wasukuma miwivu had puani😏😏Wewe mwanamke umejua hela hutaolewa.
Biashara za kuelezwa kwenye semina za ujasiriamali na kwenye pombe ni tofauti Mara ingine na uhalisia
Tafuta info..Kahama vipi kibiashara nataka kuwekeza huko kabla ya oct
Morocco?Morocco
Biashara gani specifically?
Aaah ngoja tumsubiri dada Manengelo aje atupe mbili tatu jamani na sisi tuone kama inaweza kutubeba hii pls dada Manengelo rudi utupe inforMorocco?
Kaskazini magharibi mwa Afrika utafikaje huko na mchele au mahindi?
Yaani mtu akupe infor ukamharibie soko lake, ingia mwenyewe field.Jamani mwenye kuielewa vizuri hii biashsara basi aje apa atupe A na B za hii biashara watz mnapenda kusema watz ni wavivu wakati wewe unayewasema watz wavivu wewe unazo infor ila kuwapa watz ili nao washughulike hutaki unabaki kuwasema wat Eti ni wavivu hii haijakaa poa toa aidea na njia zote za kupita ili mtu ajipime kama anaweza au la alafu baada ya hapo watu wapambane kurise fund na waweze kuanzisha biashar!!
Aaah ngoja tumsubiri dada Manengelo aje atupe mbili tatu jamani na sisi tuone kama inaweza kutubeba hii pls dada Manengelo rudi utupe infor
Yaani mtu akupe infor ukamharibie soko lake, ingia mwenyewe field.
Jamani mwenye kuielewa vizuri hii biashsara basi aje apa atupe A na B za hii biashara watz mnapenda kusema watz ni wavivu wakati wewe unayewasema watz wavivu wewe unazo infor ila kuwapa watz ili nao washughulike hutaki unabaki kuwasema wat Eti ni wavivu hii haijakaa poa toa aidea na njia zote za kupita ili mtu ajipime kama anaweza au la alafu baada ya hapo watu wapambane kurise fund na waweze kuanzisha biashar!!
Hasa CCM ikitoka ndiyo Rwanda itageuka na kuwa nchi kubwa kama DRC soko la mchele litakuwa na utacheza sana na mamilioni ningependa kuelewa zaidi@ Manengelo.Habari ndugu wanajamii forum!
Wakati Tunaposubiri Ccm watoke madarakani 2020 jaribu pia kuendelea kutafta fursa hapa na pale kabla hakijanuka☺
Nimekutana na vijana wadogo kbs wameona fursa ya kupeleka mchele Rwanda...
nimejaribu kuongea nao wanadai lazima uwe na leseni ya Afrika mashariki..wajuvi wa mambo mngesaidia sana kuelezea hii leseni inapatikana vipi..
Jamani kuna watu wanapiga helaaaa🤔🤔..nimechoka mimi..nimechoka sana...!
Umewahi sikia kuna vijana wanacheza michezo ya 5,000,000/= per month?
Shimeee💃💃💃💃! wenye mitaji "yenyu"
Kocha Mkuu
@BILGER
Hasa CCM ikitoka ndiyo Rwanda itageuka na kuwa nchi kubwa kama DRC soko la mchele litakuwa na utacheza sana na mamilioni ningependa kuelewa zaidi@ Manengelo.
mkuu manengero hebu lete data watu tuingie mzigoni
Acha uchoyo wa mawazo we mama,nia yangu ilikuwa kujifunza niondoke na madini hapa afuuu unaleta blahblah kafie mbele basi.😅😅😅 Wewe chukua maneno yaliyokugusa zaidi...mengine yaache
Acha uchoyo wa mawazo we mama,nia yangu ilikuwa kujifunza niondoke na madini hapa afuuu unaleta blahblah kafie mbele basi.
Ntaifanyiaaa Kazi hiiiKaka wa mujini..mishe zooote![]()