Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Morocco?
Kaskazini magharibi mwa Afrika utafikaje huko na mchele au mahindi?
Aaah ngoja tumsubiri dada Manengelo aje atupe mbili tatu jamani na sisi tuone kama inaweza kutubeba hii pls dada Manengelo rudi utupe infor
 
Jamani mwenye kuielewa vizuri hii biashsara basi aje apa atupe A na B za hii biashara watz mnapenda kusema watz ni wavivu wakati wewe unayewasema watz wavivu wewe unazo infor ila kuwapa watz ili nao washughulike hutaki unabaki kuwasema wat Eti ni wavivu hii haijakaa poa toa aidea na njia zote za kupita ili mtu ajipime kama anaweza au la alafu baada ya hapo watu wapambane kurise fund na waweze kuanzisha biashar!!
 
Jamani mwenye kuielewa vizuri hii biashsara basi aje apa atupe A na B za hii biashara watz mnapenda kusema watz ni wavivu wakati wewe unayewasema watz wavivu wewe unazo infor ila kuwapa watz ili nao washughulike hutaki unabaki kuwasema wat Eti ni wavivu hii haijakaa poa toa aidea na njia zote za kupita ili mtu ajipime kama anaweza au la alafu baada ya hapo watu wapambane kurise fund na waweze kuanzisha biashar!!
Yaani mtu akupe infor ukamharibie soko lake, ingia mwenyewe field.
 
Aaah ngoja tumsubiri dada Manengelo aje atupe mbili tatu jamani na sisi tuone kama inaweza kutubeba hii pls dada Manengelo rudi utupe infor


Mie nimepanga dec niende tu Rwanda..ndo ntaenda nao hawa wakaka..sitak ya kuambiwa...!
 
Jamani mwenye kuielewa vizuri hii biashsara basi aje apa atupe A na B za hii biashara watz mnapenda kusema watz ni wavivu wakati wewe unayewasema watz wavivu wewe unazo infor ila kuwapa watz ili nao washughulike hutaki unabaki kuwasema wat Eti ni wavivu hii haijakaa poa toa aidea na njia zote za kupita ili mtu ajipime kama anaweza au la alafu baada ya hapo watu wapambane kurise fund na waweze kuanzisha biashar!!



Zamani kidg nilikua kama ww..nilikua nataka nipitishwe chocho zotee nitafuniwe...nikaja shtuka ndo maana tunapiga marktym miaka yt..mkuu...ukitaka kusimama kibiashara kubali kutumia hela..yaan kubali hela ikutoke!huo ni ukwel halisia...ukisubiri kuletewa habari zote mezani kwako my dear utaumia..au utaweza pigwa
 
Habari ndugu wanajamii forum!

Wakati Tunaposubiri Ccm watoke madarakani 2020 jaribu pia kuendelea kutafta fursa hapa na pale kabla hakijanuka☺

Nimekutana na vijana wadogo kbs wameona fursa ya kupeleka mchele Rwanda...

nimejaribu kuongea nao wanadai lazima uwe na leseni ya Afrika mashariki..wajuvi wa mambo mngesaidia sana kuelezea hii leseni inapatikana vipi..

Jamani kuna watu wanapiga helaaaa🤔🤔..nimechoka mimi..nimechoka sana...!
Umewahi sikia kuna vijana wanacheza michezo ya 5,000,000/= per month?
Shimeee💃💃💃💃! wenye mitaji "yenyu"

Kocha Mkuu
@BILGER
Hasa CCM ikitoka ndiyo Rwanda itageuka na kuwa nchi kubwa kama DRC soko la mchele litakuwa na utacheza sana na mamilioni ningependa kuelewa zaidi@ Manengelo.
 
Hahaha Kwa hizi za vyakula hakuna biashara mpya humu duniani, hayo ni maisha ya kila siku.
Sema wapo tusliokuwa hatufahamu kwamba Rwanda na wao wanakula wali.
 
Acha uchoyo wa mawazo we mama,nia yangu ilikuwa kujifunza niondoke na madini hapa afuuu unaleta blahblah kafie mbele basi.


Au sijakuelewa..ww umesema ina maana ccm.ikitoka.madarakan ndo Rwanda itageuka kuwa nchi kubwa?nikakuambia ww chukua points siasa achana nazo...sifi kwa taarifa yako...kufa ww
 
Back
Top Bottom