Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
- Thread starter
- #41
Hizi biashara zinataka mtaji wa kutosha si mchezo. Karibuni morocco kuna pesa ya kukinga kwenye soko la nafaka
Jooomwe!..ni nn huko zaidi wanauhitaji mkuu
Hizi biashara zinataka mtaji wa kutosha si mchezo. Karibuni morocco kuna pesa ya kukinga kwenye soko la nafaka
Biashara ya mazao kwa sasa siyo rasmi sana. Watu wanalizwa sana. Imekaa kimagendo zaidi. Inafanyika kihivyo . inahitaji umakini. Sidhani kama kuna leseni. Wewe wapelelleze utapata habari zaidi.
biashara hii IPO miaka mingi tu na hata kupeleka Uganda. Shida yake ni vibali tu maana vinatolewa kwa makini mwisho sisi tens tusiagize Michele toka Rwanda na UgandaSio utapeli...
This business is real na iko kitambo tu.
biashara hii IPO miaka mingi tu na hata kupeleka Uganda. Shida yake ni vibali tu maana vinatolewa kwa makini mwisho sisi tens tusiagize Michele toka Rwanda na UgandaSio utapeli...
This business is real na iko kitambo tu.
Sio tu mchele, mpaka vitunguu swaumu vinalipa. Inshu ni usafirishaji ila pesa ipo kweli kweliJooomwe!..ni nn huko zaidi wanauhitaji mkuu
Two different countries
MoroccoMorocco
Comoro
Na sio mchele tu hata ngozi ya ng'ombe...
soko lake lipo naigeria ni biashara kubwa sana..mbali na matumuzi mengine wenzetu wanigeria ngozi wanakula ni chakula....
lkn mavijana ya humu ukiyapa peyable business deal at a point of time...wanakuona ng'ombe tu.... ndio maana huwa naachana nao.....ukiendesha range wanakuona mchawi wakati ni vitu vya kawaida....!!?
Deffinetly
.Naskia kwa sababu ya mgogoro wa Rwanda na Uganda ndo maama misosi inapelekwa toka Tzee...!soo lovely
Kuna fursa zipi huko? Namna ya kulifikia soko ikoje?Morocco
Kahama vipi kibiashara nataka kuwekeza huko kabla ya oct
Vibali vinatolewa wapiKuna fluctuations....
chakula kikipungua wanasitisha vibali/leseni
hata kwa ngozi za wanyama ilikuwa hivyo but sasa hv vipo na vinatolewa...
ni ufatiliaji wa taarifa sahihi kutoka kwa mamlaka husika...
Wewe mwanamke umejua hela hutaolewa.Habari ndugu wanajamii forum!
Wakati Tunaposubiri Ccm watoke madarakani 2020 jaribu pia kuendelea kutafta fursa hapa na pale kabla hakijanuka
Nimekutana na vijana wadogo kbs wameona fursa ya kupeleka mchele Rwanda...
nimejaribu kuongea nao wanadai lazima uwe na leseni ya Afrika mashariki..wajuvi wa mambo mngesaidia sana kuelezea hii leseni inapatikana vipi..
Jamani kuna watu wanapiga helaaaa..nimechoka mimi..nimechoka sana...!
Umewahi sikia kuna vijana wanacheza michezo ya 5,000,000/= per month?
Shimeee! wenye mitaji "yenyu"
Kocha Mkuu
@BILGER
SI lazima meli biashara ya kueport Kenya,Uganda,Burundi ,Kongo ,Zambia Malawi mbona watu wanaenda na mizigo midogo tu Sijajua kwa Rwanda Lakini nchi zingine hizo WalaHa ha haa leo ndio unaamka!!?
ongeza sifuri hapo....
mchele unauzwa kwa waharabu...
the only place you can fetch a good price
lakini lazima uwe na export license
na mtaji wa kusafirisha tones kwenye meli
amkeni mtaelewa tu...
Biashara za kuelezwa kwenye semina za ujasiriamali na kwenye pombe ni tofauti Mara ingine na uhalisiaSi utapeli .biashara zina changamoto.kuna jamaa yangu alipata idea ya matikiti maji akaanza kulima alichokutana nacho mungu anajua.utafiti wa kutosha ni muhimu kabla hujaweka fedha zako.mpenzi