soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,346
- 2,160
Hizi biashara zinataka mtaji wa kutosha si mchezo. Karibuni morocco kuna pesa ya kukinga kwenye soko la nafaka
Biashara ipo kwenye right information na mtaji...kuna watu ni wachoyo wa taarifa ie masoko yalipo... wanataka wapate wao tu....Leo mara ya 2 nakuomba urafiki ujue😂😂🙌🙌...nauchukia umaskini...hahhaa...nataman maisha ya unaenda popote unaagiza huduma hakuna kuuliza bei...!😂😂...!
yaan ww unaenda kempski unàagiza unachotaka mwishon unaomba bill unalipa.unasepa 😑😑
Biashara ipo kwenye right information na mtaji...kuna watu ni wachoyo wa taarifa ie masoko yalipo... wanataka wapate wao tu....
Mane you are my friend I will give you tips/ways....
Si utapeli .biashara zina changamoto.kuna jamaa yangu alipata idea ya matikiti maji akaanza kulima alichokutana nacho mungu anajua.utafiti wa kutosha ni muhimu kabla hujaweka fedha zako.mpenzi
Usifanye biashara kabla hujajua soko ..Si utapeli .biashara zina changamoto.kuna jamaa yangu alipata idea ya matikiti maji akaanza kulima alichokutana nacho mungu anajua.utafiti wa kutosha ni muhimu kabla hujaweka fedha zako.mpenzi
Biashara ya mazao kwa sasa siyo rasmi sana. Watu wanalizwa sana. Imekaa kimagendo zaidi. Inafanyika kihivyo . inahitaji umakini. Sidhani kama kuna leseni. Wewe wapelelleze utapata habari zaidi.Habari ndugu wanajamii forum!
Wakati Tunaposubiri Ccm watoke madarakani 2020 jaribu pia kuendelea kutafta fursa hapa na pale kabla hakijanuka☺
Nimekutana na vijana wadogo kbs wameona fursa ya kupeleka mchele Rwanda...
nimejaribu kuongea nao wanadai lazima uwe na leseni ya Afrika mashariki..wajuvi wa mambo mngesaidia sana kuelezea hii leseni inapatikana vipi..
Jamani kuna watu wanapiga helaaaa🤔🤔..nimechoka mimi..nimechoka sana...!
Umewahi sikia kuna vijana wanacheza michezo ya 5,000,000/= per month?
Shimeee💃💃💃💃! wenye mitaji "yenyu"
Kocha Mkuu
@BILGER
Hii ni kweli jamaa wananunua ngozi na wanakula. Niliwahi kumuona mnunuzi kutoka Nigeria akiwa na agent wa ki bongoNa sio mchele tu hata ngozi ya ng'ombe...
soko lake lipo naigeria ni biashara kubwa sana..mbali na matumuzi mengine wenzetu wanigeria ngozi wanakula ni chakula....
lkn mavijana ya humu ukiyapa peyable business deal at a point of time...wanakuona ng'ombe tu.... ndio maana huwa naachana nao.....ukiendesha range wanakuona mchawi wakati ni vitu vya kawaida....!!?
MAHITAJI;-Habari ndugu wanajamii forum!
Wakati Tunaposubiri Ccm watoke madarakani 2020 jaribu pia kuendelea kutafta fursa hapa na pale kabla hakijanuka
Nimekutana na vijana wadogo kbs wameona fursa ya kupeleka mchele Rwanda...
nimejaribu kuongea nao wanadai lazima uwe na leseni ya Afrika mashariki..wajuvi wa mambo mngesaidia sana kuelezea hii leseni inapatikana vipi..
Jamani kuna watu wanapiga helaaaa..nimechoka mimi..nimechoka sana...!
Umewahi sikia kuna vijana wanacheza michezo ya 5,000,000/= per month?
Shimeee! wenye mitaji "yenyu"
Kocha Mkuu
@BILGER
www.immigration.go.tz[U/]Maombi ya passport kwa njia ya kielectroniki
Hii ni huduma mpya inayomuwezesha muombaji kujaza Fomu ya Maombi ya Pasipoti kwa njia ya Kielektroniki akiwa mahali popote. Baada ya kujaza fomu hiyo, atatakiwa kuichapisha (Print) na kuiwasilisha pamoja na vielelezo vingine katika Ofisi ya Uhamiaji iliyo karibu naye kwa ajili ya kushughulikiwa maombi yake ya Pasipoti.MAHITAJI;-
.Cheti cha Kuzaliwa Mwombaji
Cheti/Kiapo cha Kuzaliwa Mzazi wa Mwombaji
Kitambulisho cha Taifa
Picha ya Mwombaji ya hivi karibuni yenye kivuli cha rangi ya buluu isiyokoza (Light blue Background)
Ada ya Fomu Tsh 20,000
Ushahidi wa Safari au Ushahidi wa Shughuli anayofanya Mwombaji.
JINSI YA KUJAZA;-
Bofya Anza kujaza fomu, kwa Ombi Jipya
Bofya ENDELEA ili kuendelea na Ombi ambalo halikufikia mwisho
Utahitajika Kujaza Namba ya Utambulisho (Rfeference ID) wa Ombi lako na Namba ya Ombi (Application Number) husika
Jaza Taarifa zako sahihi kwa ukamilifu
Hifadhi Namba yako ya Utambulisho (Application ID) kwa matumizi ya baadaye.
Jaza Taarifa za Pasipoti ya zamani (ikiwa uliwahi kuwa na pasipoti)
Jaza Taarifa za Wadhamini na Watu ambao ungependa wapewe taarifa endapo utatakewa na tatizo lolote
Ambatanisha Vielelezo vyote vinavyohitajika (kwa kuzingatia maelekezo)
Hakiki Taarifa zako zote na kisha bofya kukubaliana nazo ikiwa ziko sahihi
Lipia fomu yako baada ya kupatiwa Namba ya Kumbukumbu ya Malipo (Control Number)
Ni kweli....Hii ni kweli jamaa wananunua ngozi na wanakula. Niliwahi kumuona mnunuzi kutoka Nigeria akiwa na agent wa ki bongo
Kuna fluctuations....Biashara ya mazao kwa sasa siyo rasmi sana. Watu wanalizwa sana. Imekaa kimagendo zaidi. Inafanyika kihivyo . inahitaji umakini. Sidhani kama kuna leseni. Wewe wapelelleze utapata habari zaidi.
Hizi biashara zinataka mtaji wa kutosha si mchezo. Karibuni morocco kuna pesa ya kukinga kwenye soko la nafaka
Sasa bibie si ungewauliza haohao vijana kuhusu hio leseni ya afrika mashariki waliipataje,au wao hawana wanasafirisha kwa njia ya panya.Habari ndugu wanajamii forum!
Wakati Tunaposubiri Ccm watoke madarakani 2020 jaribu pia kuendelea kutafta fursa hapa na pale kabla hakijanuka
Nimekutana na vijana wadogo kbs wameona fursa ya kupeleka mchele Rwanda...
nimejaribu kuongea nao wanadai lazima uwe na leseni ya Afrika mashariki..wajuvi wa mambo mngesaidia sana kuelezea hii leseni inapatikana vipi..
Jamani kuna watu wanapiga helaaaa..nimechoka mimi..nimechoka sana...!
Umewahi sikia kuna vijana wanacheza michezo ya 5,000,000/= per month?
Shimeee! wenye mitaji "yenyu"
Kocha Mkuu
@BILGER
Ni kweli....
Ila wapo watakaobisha...
watz tumekuwa wazito sana kufanya research za masoko na ndio umasikini wetu ulipo....
Wakenya na Waganda wapo sharp sana wametuacha mbali sana....
ulivyoanza tu ndio umeharibu kwa wale wasiopenda ligi za siasa.
Sasa bibie si ungewauliza haohao vijana kuhusu hio leseni ya afrika mashariki waliipataje,au wao hawana wanasafirisha kwa njia ya panya.
Na sio mchele tu hata ngozi ya ng'ombe...
soko lake lipo naigeria ni biashara kubwa sana..mbali na matumuzi mengine wenzetu wanigeria ngozi wanakula ni chakula....
lkn mavijana ya humu ukiyapa peyable business deal at a point of time...wanakuona ng'ombe tu.... ndio maana huwa naachana nao.....ukiendesha range wanakuona mchawi wakati ni vitu vya kawaida....!!?