Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,530
- 32,737
Muwe wangalifu biashara Nazo zinaendana na siasa,ukianza hiyo biashara jua uhusiano kati ya nchi na nchi anaweza akaja rais mwenye uhasama na Rwanda kama ilivyokuwa kwa kikwete hapo jua fika Hamn biashara itakayofanyika.


