Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Kama huna majukumu ya ndoa njoo uize hata maji...huku maji ya kunywa yanauzika..alafu nimegundua..wanaouza ya baridi wakuhesabu..nashanhaa huku hakuna bishara ya kugandisha barafu..wanachofanya wanayaweka tu kwa friji anakuja pack asbh kwa deli zake kadhaa... na mostly wanauza ya moto pia kama unauweza wakala pia hii habari ya kulaza laki 1 kwa siku as faida kawaida mnoooo!!
Huu uwakala unaosema unalaza laki kwa siku ni huu wa miamala ya pesa au ??
 
Habari ndugu wanajamii forum!

Wakati Tunaposubiri Ccm watoke madarakani 2020 jaribu pia kuendelea kutafta fursa hapa na pale kabla hakijanuka

Nimekutana na vijana wadogo kbs wameona fursa ya kupeleka mchele Rwanda...

nimejaribu kuongea nao wanadai lazima uwe na leseni ya Afrika mashariki..wajuvi wa mambo mngesaidia sana kuelezea hii leseni inapatikana vipi..

Jamani kuna watu wanapiga helaaaa..nimechoka mimi..nimechoka sana...!
Umewahi sikia kuna vijana wanacheza michezo ya 5,000,000/= per month?
Shimeee! wenye mitaji "yenyu"

Kocha Mkuu
@BILGER

Mane mimi ninaweka mambo sasa nataka kuja huko kwenye madini
 
kuna kipindi niliambiwa Ifakara kuna kampuni inauza mchele bei rahisi sana nilikuwa na oda ya kusupply kwenye shule nilipokwenda ili kupata uhakika nikaenda mpaka kwenye hiyo kampuni wao ni wawekezaji wanalima mchele wakaniambia kwa sasa siwezi kupata mchele wana oda kubwa sana Rwanda hivyo nakubaliana na maneno yako
 
kuna kipindi niliambiwa Ifakara kuna kampuni inauza mchele bei rahisi sana nilikuwa na oda ya kusupply kwenye shule nilipokwenda ili kupata uhakika nikaenda mpaka kwenye hiyo kampuni wao ni wawekezaji wanalima mchele wakaniambia kwa sasa siwezi kupata mchele wana oda kubwa sana Rwanda hivyo nakubaliana na maneno yako


Asante kusaidia kupata ukweli mkuu
 
Napenda Hustling Mind kama hizi .. Tafuta hela kwa kila namna as longer as huvunji sheria za nchi ... Tupige kazi wajameni.

Haaha upo kama mm....!nna rafiki yang anacheza mchezo wa 5m kila mwezi.means daily ni laki 1 na elfu 66 hv!
unajua aliponiambia nikasema hv mm nafny nn duniani jaman😂😂...na cirlce yake imetulia..inajielewa balaa...yaan narudia 5m wako 12...!ana hustle za kufa mtu...!usitegemee biashara moja tu kuvusha ! mie nalala hoi lakini nafurah mno mno kila.mtu asbh anareport kwangu😂😂🙌🙌
 
Plus ujuaji kibao.ww soma comments utaona
Duuh Manengelo mbona hakuna mjuaji umu wote tunachotafuta ni kupata t\rifa na maarifa mapya ndugu yangu pls acha izo wangu kama tumekwazana kule juu hayo yaishe wangu nahitaji sana hizi taarifa zako na naamini kabisa kupitia wewe tutafaidika na mengi na hakika wewe ni mtu uko wazi mana naona kuna baadhi ya mambo ambayo unayatoa ni ya kweli mfano mambo ya mpesa/ uwakala na mengine mengi pls izi ni changamoto tu pls tuwie radhi cc Manengelo!!
 
Duuh Manengelo mbona hakuna mjuaji umu wote tunachotafuta ni kupata t\rifa na maarifa mapya ndugu yangu pls acha izo wangu kama tumekwazana kule juu hayo yaishe wangu nahitaji sana hizi taarifa zako na naamini kabisa kupitia wewe tutafaidika na mengi na hakika wewe ni mtu uko wazi mana naona kuna baadhi ya mambo ambayo unayatoa ni ya kweli mfano mambo ya mpesa/ uwakala na mengine mengi pls izi ni changamoto tu pls tuwie radhi cc Manengelo!!


hahahaa..mie wala siko seruous namna hy had tuombane misamaha..alafu sikumanisha ww..kuna comment unaona kbs huyu mtu hana kitu anachojua lakini anakija comment upupuu kweli..yaan watz ni wajuaji jaman sijapata ona.!..ndo maama ras jef kapita alishatupa madongo ....kuna watu wameshauzoea umaskini..mir napigana nao hapa najiskia homa balaa ila sikubal kbs kulala lala kizembe
 
Back
Top Bottom