mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 17,038
- 52,738
ukiongea kilugha unakua mbaya😂 pisi kali zinabonga kingerezaNa nini tena? Muulize kaka ako basi mahari analeta lini? Au anataka nifike 45-55 ndio anioe
ukiongea kilugha unakua mbaya😂 pisi kali zinabonga kingerezaNa nini tena? Muulize kaka ako basi mahari analeta lini? Au anataka nifike 45-55 ndio anioe
ukiongea kilugha unakua mbaya pisi kali zinabonga kingereza
utaachika na utakosa mume labda urudi kijijini😂Mxxieeeewww!!
Sema huelewi na ss hivi ndo dawa yenu mmezidi kunizoea!!!
Afu kiingereza cha nyokoo mlinilipia school fees?!! Nipeleke kwa Ras Simba nianze course ya miezi 3
utaachika na utakosa mume labda urudi kijijini
Nilishakuelewa Ila wewe ndio umegoma kunielewaGari mbovu haivutwi na gari mbovu.
Gari mbovu huvutwa na gari nzima.
Sijuwi unanielewa?
Wengi now NI singo maza na wengine housewives🚶🚶🚶Wanawake wazuri na wanaojielewa niliowaona wengi wanaolewa mapema during 20's, na maisha yao ni mazuri tu, muhimu kupambana tu.
Aliekukuza Nani??We don't take relationship advice from women.
Woman can't teach a boy how to be a man.
MISS LADY YOU BETTER STAY ON YOUR OWN LANE
Au jarbu kufanya wanachofanya wezio wakina :
1.Olivia Alexa
2.Melli Monaco
3. NollaGirl504
Hawa tunawasikiliza kwasababu wana expose makando makando .
Nipo Huku Katoliki tunadiskas waraka WA bandariHebu dada mrembo mkatoliki mbatizwa wa miaka 30-38 nicheki mara moja pm sasaivi na Mungu akubariki sana kwa kuitikia wito wa mtumishi wake, Amen.
AiseeZakuambiwa's principle itumike hapa
Waoaji wapo bro😂😂😂Badala ya kuuliza wanaume, kama wanaweza kuoa mwanamke above 38yrs, wewe unakuja kutusemea.
Wameachwa wengi ndio maana Niko hapaNani kasema tunawaacha?
Umeona ee😂😂😂Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Ajenda unazopush za kiwaki sana ujue 🤣Wameachwa wengi ndio maana Niko hapa
Wewe unawaza kuzaa at 50Wadada wengi kipaumbele chao kuolewa wakiwa 25 mpk 30 age kinyume na hapo inakuwa changamoto kwao, kingine umeongelea kuzaa ukiwa na 50 age hapo unaweza ukazaa watoto ambao hawapo inteligent ni vizuri ukazaa ukiwa na umri mdogo
Acha watoto wa watu wajaeeeAjenda unazopush za kiwaki sana ujue 🤣
Feminists ndoa zimewashinda wanataka kuwaharibu mabin
Imbombo NkhomeeImbombo mute
Huyu ndio kilaza kabisa😂😂Aisee
Mwanangu WA mwisho nimemzaa at age 50Money mbona unatukana, kwanza kuzaa ukiwa 50 inawezekana?
Preeeeeeeeeeach, hataki kujaaumeanza kufeli mwanangu