Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,930
- 14,827
- Thread starter
- #221
Wengine mpaka Miaka 55 wanapata menopauseMwanamke akiwa na miaka 50 kamwe hawezi kuzaa. Sayansi ya kimaumbile inasema mwanamke hifika ukomo wa kutoa mayai (menopause) akiwa n miaka 45.
Usiwadanganye!
Inategemea na lifestyle yako ya msasi na maisha bruh
Ask any doctor atakueleza
Usijifanye wewe NI mwanamke Sana ukakremisha Miaka ya menopause