MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,874
- 6,291
Habari wadau.
Ukweli maisha ya kisasa sio rafiki kabisa kwa dada zangu ama wanawake wote.
Wanawake wana biological age tofauti na wanaume.
Dada zangu wanamaliza elimu mapema wakiwa ealy 20s tu wameshamaliza masomo. Hapo wapo hot. Sura nzuri. Mayai ya uzazi yapo vizuri ukigusa tu mimba. Waoaji hawaonekani sababu kipindi hicho dada zangu wanakuwa hawana kipato cha kueleweka. Mwanamke Kuolewa mpaka awe na maisha ama kipato kizuri nowdays. Ama huyo dada atoke familia bora mambo safi ndio anaolewa haraka.
Dada zangu wanabaki wanasuburia huku umri unaenda mayai ya uzazi nayo yanazeeeka. Maana hawana hela ya ku ya freeze kama wazungu.
Dada zangu hao hao wakifika 30s kidogo kipato kimesimama simama. Ndio wanaume waoaji wanaibuka na kutaka kuwaoa. Dada zangu hawana hiyana wanaolewa.
Shida kwenye ndoa sasa wanaenda kukutana na lawama kwamba hawazai ama wakijitahidi wanazaa mtoto mmoja tu.
Mwanaume kama unataka familia watoto wengi kwa nini usimuoe dada yangu toka amemaliza chuo wakati yupo early 20s...
Hapo ungemchoka mwenyewe mpaka anafika 30s angekuwa ameshakuzalia watoto hata watatu. Na angekuzalia wengine in her 30s sababu uzazi umeshafunguka mapema kuendelea kuzaa sio ishu kwake
Kumuoa umechelewa mwenyewe halafu unampa lawama kwamba hazai watoto unaotaka.
Wanaume mjifunze wanawake wana biological clock.
Kama tunapenda watuzalie familia kubwa Tuwaoe mapema wakati mayai yao yana nguvu ealy 20s
Ukweli maisha ya kisasa sio rafiki kabisa kwa dada zangu ama wanawake wote.
Wanawake wana biological age tofauti na wanaume.
Dada zangu wanamaliza elimu mapema wakiwa ealy 20s tu wameshamaliza masomo. Hapo wapo hot. Sura nzuri. Mayai ya uzazi yapo vizuri ukigusa tu mimba. Waoaji hawaonekani sababu kipindi hicho dada zangu wanakuwa hawana kipato cha kueleweka. Mwanamke Kuolewa mpaka awe na maisha ama kipato kizuri nowdays. Ama huyo dada atoke familia bora mambo safi ndio anaolewa haraka.
Dada zangu wanabaki wanasuburia huku umri unaenda mayai ya uzazi nayo yanazeeeka. Maana hawana hela ya ku ya freeze kama wazungu.
Dada zangu hao hao wakifika 30s kidogo kipato kimesimama simama. Ndio wanaume waoaji wanaibuka na kutaka kuwaoa. Dada zangu hawana hiyana wanaolewa.
Shida kwenye ndoa sasa wanaenda kukutana na lawama kwamba hawazai ama wakijitahidi wanazaa mtoto mmoja tu.
Mwanaume kama unataka familia watoto wengi kwa nini usimuoe dada yangu toka amemaliza chuo wakati yupo early 20s...
Hapo ungemchoka mwenyewe mpaka anafika 30s angekuwa ameshakuzalia watoto hata watatu. Na angekuzalia wengine in her 30s sababu uzazi umeshafunguka mapema kuendelea kuzaa sio ishu kwake
Kumuoa umechelewa mwenyewe halafu unampa lawama kwamba hazai watoto unaotaka.
Wanaume mjifunze wanawake wana biological clock.
Kama tunapenda watuzalie familia kubwa Tuwaoe mapema wakati mayai yao yana nguvu ealy 20s