Nawaonea sana huruma dada zangu. Kipindi wapo umri 25, uzazi upo rahisi kwao, hawapati wanaume wa kuwaoa. Wakifika 30s wakiwa na vihela ndio wanaolewa

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,874
6,291
Habari wadau.

Ukweli maisha ya kisasa sio rafiki kabisa kwa dada zangu ama wanawake wote.

Wanawake wana biological age tofauti na wanaume.

Dada zangu wanamaliza elimu mapema wakiwa ealy 20s tu wameshamaliza masomo. Hapo wapo hot. Sura nzuri. Mayai ya uzazi yapo vizuri ukigusa tu mimba. Waoaji hawaonekani sababu kipindi hicho dada zangu wanakuwa hawana kipato cha kueleweka. Mwanamke Kuolewa mpaka awe na maisha ama kipato kizuri nowdays. Ama huyo dada atoke familia bora mambo safi ndio anaolewa haraka.

Dada zangu wanabaki wanasuburia huku umri unaenda mayai ya uzazi nayo yanazeeeka. Maana hawana hela ya ku ya freeze kama wazungu.


Dada zangu hao hao wakifika 30s kidogo kipato kimesimama simama. Ndio wanaume waoaji wanaibuka na kutaka kuwaoa. Dada zangu hawana hiyana wanaolewa.

Shida kwenye ndoa sasa wanaenda kukutana na lawama kwamba hawazai ama wakijitahidi wanazaa mtoto mmoja tu.

Mwanaume kama unataka familia watoto wengi kwa nini usimuoe dada yangu toka amemaliza chuo wakati yupo early 20s...

Hapo ungemchoka mwenyewe mpaka anafika 30s angekuwa ameshakuzalia watoto hata watatu. Na angekuzalia wengine in her 30s sababu uzazi umeshafunguka mapema kuendelea kuzaa sio ishu kwake

Kumuoa umechelewa mwenyewe halafu unampa lawama kwamba hazai watoto unaotaka.

Wanaume mjifunze wanawake wana biological clock.

Kama tunapenda watuzalie familia kubwa Tuwaoe mapema wakati mayai yao yana nguvu ealy 20s
tayana wog.png


woman.jpg

 
Sasa sijaelewa kosa ni letu wanaume tena na wao ndio huwa wanasema wanachase dreams zao kwanza?

Nani kasema wanaume wanakimbia wanawake at that age?

Wanawake wengi wa siku hizi at age 18+ hadi 29 huwa wanakwambia ndoa sio muhimu kwao wanahitaji kupambania ndoto zao ambazo sisi wanaume kwa bahati mbaya hatuzifahamu.

Then wakishafika umri huo wa uzee wanaanza kukubaliana na uhalisia na kuanza kuforce mahusiano na wanaume waliopo available.

Sasa kosa letu wanaume hapo ni lipi?
 
Sasa sijaelewa kosa ni letu wanaume tena na wao ndio huwa wanasema wanachase dreams zao kwanza?

Nani kasema wanaume wanakimbia wanawake at that age?

Wanawake wengi wa siku hizi at age 18+ hadi 29 huwa wanakwambia ndoa sio muhimu kwao wanahitaji kupambania ndoto zao ambazo sisi wanaume kwa bahati mbaya hatuzifahamu.

Then wakishafika umri huo wa uzee wanaanza kukubaliana na uhalisia na kuanza kuforce mahusiano na wanaume waliopo available.

Sasa kosa letu wanaume hapo ni lipi?
Kumbe miaka 30 ni uzee?
 
Jomba acha kuwaza upuuzi. Badala ya kufikiria nini kitawapata masai waliopiga askari unafikiria watu wasiojitambua? Kipindi nimemaliza form six Enzi zile za mtandao wa marafiki.com nilipanga miadi na toto moja zuri kukutana pale Njiro Complex. Yule dem alivyoniona akaniambia samahani upo kinyume na nilivyotarajia kwahiyo nisamehe sana hatuendani... AKAONDOKA... Kiukweli nilistahili kuambiwa vile kwasababu nilikuwa nimefulia balaa. Ufukara ulikuwa umeshika hatamu. Bahati nzuri dem nilikuja kusoma nae chuo kimoja. Nilimtangulia mwaka. Hadi ninavyoandika ni dem ambaye aliingia kwenye ndoa na ikamshinda. Kukosa mtoto ni sababu iliyochangia. Kwa sasa tumebaki kuwa marafiki... sasa mtu kama huyu naanzaje KUMHURUMIA?
 
Habari wadau.

Ukweli maisha ya kisasa sio rafiki kabisa kwa dada zangu ama wanawake wote.

Wanawake wana biological age tofauti na wanaume.

Dada zangu wanamaliza elimu mapema wakiwa ealy 20s tu wameshamaliza masomo. Hapo wapo hot. Sura nzuri. Mayai ya uzazi yapo vizuri ukigusa tu mimba. Waoaji hawaonekani sababu kipindi hicho dada zangu wanakuwa hawana kipato cha kueleweka. Mwanamke Kuolewa mpaka awe na maisha ama kipato kizuri nowdays. Ama huyo dada atoke familia bora mambo safi ndio anaolewa haraka.

Dada zangu wanabaki wanasuburia huku umri unaenda mayai ya uzazi nayo yanazeeeka. Maana hawana hela ya ku ya freeze kama wazungu.


Dada zangu hao hao wakifika 30s kidogo kipato kimesimama simama. Ndio wanaume waoaji wanaibuka na kutaka kuwaoa. Dada zangu hawana hiyana wanaolewa.

Shida kwenye ndoa sasa wanaenda kukutana na lawama kwamba hawazai ama wakijitahidi wanazaa mtoto mmoja tu.

Mwanaume kama unataka familia watoto wengi kwa nini usimuoe dada yangu toka amemaliza chuo wakati yupo early 20s...

Hapo ungemchoka mwenyewe mpaka anafika 30s angekuwa ameshakuzalia watoto hata watatu. Na angekuzalia wengine in her 30s sababu uzazi umeshafunguka mapema kuendelea kuzaa sio ishu kwake

Kumuoa umechelewa mwenyewe halafu unampa lawama kwamba hazai watoto unaotaka.

Wanaume mjifunze wanawake wana biological clock.

Kama tunapenda watuzalie familia kubwa Tuwaoe mapema wakati mayai yao yana nguvu ealy 20s
Hapana sikubaliani na hili sio kweli. Katika wanaume waoaji 90% (hiyo 10% ni vijana wa Kinondoni) fedha ya mwanamke sio kipaumbele kwao.

Uhalisia ni kua women wameingia katika mfumo wa kibepari na kuamini they need money and have higher standards which is not a bad thing but the unfortunately marriage game haipo hivyo.
 
Nafikiri suala la kuolewa wanawake wa siku hizi hawalichukulii kwa uzito, ndoa kwao ni lile gauni na mapicha picha kama vile kuwaonyesha tu wazazi na watu kuwa amewahi kuwa na mume.

Naona kama wanapendelea zaidi maisha ya uhuru ya mtoto mmoja au wawili waendelee kula maisha bila mwanaume wa kumpa masharti na maelekezo. Hawataki tena mambo ya kuongozwa na mwanaume kama walivyofanya mama zetu. Na vijana wengi wamepoteza uwezo wa kuongoza wanawake sababu ya vipato na vipaumbele.
 
Upuuzi mwingi uliowajaa kichwani ndio unawafanya wahangaike kutafuta ndoa when they turn 30's

Siku zote mwanamke hawezi kufikiri yajayo, badala yake huwa wanafikiri wakati ule alio nao.. na ni kwasababu ni watu wabinafsi, hufikiri kitu kimpe faida kwa wakati huo tu.. hawazi kuhusu baadae

Tofauti na mwanaume, ambaye huwa akili yake huwaza juu ya yale yajayo kwa miaka mingi baadae, ama siku nyingi zijazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom