Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
mbona umefunga ss?Njooo Pm huku tusimwage mcheleeww![]()

mbona umefunga ss?Njooo Pm huku tusimwage mcheleeww![]()

HahahaHawa wanaume wetu ukimuomba laki 5 tu na block anakupa ndo uende ukamuombe Iphone 7 si atahama na nyumba![]()
Wifi sema tu unataka kumpa Miller namba. screen shot tuu ndo ajishindie namba nakataaaMr miller akituma screenshort nampa offer ya namba yangu tsap
Usicheke ujue ni kweliHahaha

Mara moja moja navamia kwa ndugu jamaa na marafikiChakula cha gengeni hakifai kila siku
bongo ukimwambia boyfriend akununulie hata Tecno ya promotion anakuandikia uzi Jamiforum mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
hahahaha huu ni mtego wa panya unataka kumnasa mendeMr miller akituma screenshort nampa offer ya namba yangu tsap








Hapana hapana. Kawaida mnaitana pm. Namsaidia kaka kulinda akiwa busyHahahahaha story za kawaida tu usimuiteee
wee Demiss ww...utawezaa!!?Tuma screenshort kama hautumiii tecnooo tufunge kesiii hapaaaa



Kwani hutaki namba ya mrembo Demiss ex hubby? Acha uzembe basiihahahaha huu ni mtego wa panya unataka kumnasa mende![]()