Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,831
mbona umefunga ss?[emoji20]Njooo Pm huku tusimwage mcheleeww[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
mbona umefunga ss?[emoji20]Njooo Pm huku tusimwage mcheleeww[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Sijui [emoji23][emoji23]mm na iPhone tangu lini lkn...uchochezi huo![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Tumaaaaa kama unajiamini hautumii tecno Y6
HahahaHawa wanaume wetu ukimuomba laki 5 tu na block anakupa ndo uende ukamuombe Iphone 7 si atahama na nyumba [emoji23][emoji23][emoji23]
Wifi sema tu unataka kumpa Miller namba. screen shot tuu ndo ajishindie namba nakataaaMr miller akituma screenshort nampa offer ya namba yangu tsap
Usicheke ujue ni kweli [emoji23]Hahaha
Mara moja moja navamia kwa ndugu jamaa na marafikiChakula cha gengeni hakifai kila siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bongo ukimwambia boyfriend akununulie hata Tecno ya promotion anakuandikia uzi Jamiforum mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
hahahaha huu ni mtego wa panya unataka kumnasa mende [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mr miller akituma screenshort nampa offer ya namba yangu tsap
Hapana hapana. Kawaida mnaitana pm. Namsaidia kaka kulinda akiwa busyHahahahaha story za kawaida tu usimuiteee
wee Demiss ww...utawezaa!!?[emoji3][emoji3][emoji3]Tuma screenshort kama hautumiii tecnooo tufunge kesiii hapaaaa
Kwani hutaki namba ya mrembo Demiss ex hubby? Acha uzembe basiihahahaha huu ni mtego wa panya unataka kumnasa mende [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]