Begonia watanza
Member
- Jul 18, 2013
- 5
- 5
Bei ya China na tz ni tofauti...cjui hiyo nyumba kwa China ikoje...
Na hata kwa bongo pia cjui hiyo nyumba ingekua ni ya hadhi gani.
Na hata kwa bongo pia cjui hiyo nyumba ingekua ni ya hadhi gani.
Akifanya ujinga huo Africa, atarudi kwao China na Rambohahahah hatari
daah! sitaki kuamini naikosa namba ya Demiss hivi hiviii...Weka screen shot upate


















kutoa hiyo nambaNitaweza nini?
nakujaTayari
bongo ukimwambia boyfriend akununulie hata Tecno ya promotion anakuandikia uzi Jamiforum mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu










Mmh!Mfyuuuuu
Shkamoo mezaaa kijiji ama?!
Mambo za wewe!
Nitamleta huko kuanzia mwakani, huku bado sijaipa priorityPoleee sana fanya harakati umuhamishie Dar
Hata hiyo usiombe mdogo wangu!hata ya vocha bando la UNI
sijaona namba bado PM
Habari yako kakaMmh!
salama dada, habari ya siku ya leo?Habari yako kaka
Mungu anasaidia kakasalama dada, habari ya siku ya leo?