Hawa wanaume wetu ukimuomba laki 5 tu na block anakupa ndo uende ukamuombe Iphone 7 si atahama na nyumba![]()


sio wa mchezo mchezo....hawapendi ujinga itakuaMbali na papuchi kuna kingine cha ziada interms of kuongeza kipato?bongo ukimwambia boyfriend akununulie hata Tecno ya promotion anakuandikia uzi Jamiforum mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
2016 iphone 7 ilikuwa imeshatoka ama tunauziwa chai?Hakuna haja ya kutumia nguvu tumia akili.View attachment 799365
nimecheka sana eti anahama na nyumba mm nakumbuka niliwahi kuzima simu week nikamuomba boy wangu simu mwaka Juzi unanijibu
NASHUKURU SAIVI HUPATIKANI HEWANI KAMA NINA SHIDA UJE KAZINI KWANGU HAKUNA KUWA NA SIMU
sitakaaa nisahau








. Alijifanya hataki uwe na simu kumbe hataki kukupa hela.Tecno ina uzuri gani wa Camera wee Demiss!!Ndioooo nataka Tecno maana ina kamera nzuri napenda mapicha picha kama msaniii
Aaah hawapendi kabisa hawasio wa mchezo mchezo....hawapendi ujinga itakua



Baby ninunulie Iphone 7 basi2016 iphone 7 ilikuwa imeshatoka ama tunauziwa chai?
THawa wanaume wetu ukimuomba laki 5 tu na block anakupa ndo uende ukamuombe Iphone 7 si atahama na nyumba![]()
Mimi hata iphone 10 nakupa ila ukubali kutoa mambo ya pwan iHawa wanaume wetu ukimuomba laki 5 tu na block anakupa ndo uende ukamuombe Iphonea. 7 si atahama na nyumba![]()
Tatizo tunatembea na wenye njaa pia. Sasa mtu kipato chake unajua laki 3 umuombe million si uuaji huowanawake wa kibongo wengne weng mawazo ya njaa wenzao wanaomb iphone 7 yeye anataka vocha ajiunge uni bando
muwaache tu wafanye kwa uwezo wao ss...china iPhone bei tofauti na bongo lkn mjueAaah hawapendi kabisa hawa![]()