Fursa gani ziko Turiani?

Fursa gani ziko Turiani?

Mabala21

Senior Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
146
Reaction score
100
Wadau salaamu!

Noamba ushauri kuna fursa gani maeneo ya turiani (mvomero) hasa katiak upatikanaji wa mifugo hasa mbuzi, ngombe na nguruwe? Na pia fursa gani nyingine naweza kuwekeza huko na zikaniletea faida. Nimepata shamba huko na nahamia mwezi huu.

Natakunguliza shukurani
 
Nasikilizia mawazo yenu wadau, ni muhimu sana sana hili! Ahsanteni!
 
Kusanya mazao wakati wa kuvuna kisha uza yanapopanda bei (Mpunga na nafaka).Kama kuna umeme funga mashine ya Kusaga na kukoboa utanishukuru baadaye.
 
Kusanya mazao wakati wa kuvuna kisha uza yanapopanda bei (Mpunga na nafaka).Kama kuna umeme funga mashine ya Kusaga na kukoboa utanishukuru baadaye.
Nashukuru sana, hili wazo nimelipata na nitalifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom