Fupi tamu jamani lakini ndefu hakika inakera

Fupi tamu jamani lakini ndefu hakika inakera

Huku kunanifaa sana kule kwenye siri au wazi hapafai stress tuu huku hata pinyeto napiga hasa pale heaven inapokuwa on earth
 
Heaven on Earth, today you're the hero of MMU. You have brought confidence to majority of men in this forum.

Nyie wadada hamjui kiasi gani wanaume wanakosa amani mkiwananga kuwa "vibamia" Ona sasa wanavyokupa "milike" ya kufa mtu....lol

Wadada huwa hawajui tuu, mwanaume anapenda kusifiwa hata kama ngoma nzito ya mnyamwezi ayajitahidi mpaka afike mwisho. Ukimsifia mwanaume unayempenda kwa kumegana naye baadaye atajitahidi kuongeza maujuzi ili akuoneshe kuwa anaweza zaidi! Sasa Dada zetu mechi ya kwanza tu anamnanga Jamaa kama nini! Ukimuuliza yeye anafanya nini kumsaidia jamaa, hakuna!! Sikatai kuna wasio riziki ila wanaume wengi wanakuwa disturbed psychologically.
 
Last edited by a moderator:
Wadada huwa hawajui tuu, mwanaume anapenda kusifiwa hata kama ngoma nzito ya mnyamwezi ayajitahidi mpaka afike mwisho. Ukimsifia mwanaume unayempenda kwa kumegana naye baadaye atajitahidi kuongeza maujuzi ili akuoneshe kuwa anaweza zaidi! Sasa Dada zetu mechi ya kwanza tu anamnanga Jamaa kama nini! Ukimuuliza yeye anafanya nini kumsaidia jamaa, hakuna!! Sikatai kuna wasio riziki ila wanaume wengi wanakuwa disturbed psychologically.

kwa mfano wewe ni mpenzi wangu na hujanikuna kunako umeniacha naelea juu juu
nisikwambie jamani...maana nikikusifia wakati hujafanya kitu perfomance si itaenda kua vile vile
 
Huku kunanifaa sana kule kwenye siri au wazi hapafai stress tuu huku hata pinyeto napiga hasa pale heaven inapokuwa on earth

kumbe na we ulikuwa kule ule mtaa nilikuwa huko muda mwingi ..........

hapo kwenye red duuh
 
Wee Heaven on Earth na lara1 , huwa mnanifanya nijisikie (siyo peke yangu) kama JD kwenye huu wimbo.... Hahahaaaaa....

Bahati mbaya tu Smile kanichengua zaidi ila akiendelea na wimbo wake wa "sina hamu na Wanyamwezi" basi nabadili kibao na kukielekeza kwingine. Babu Aspirin unasemaje kuhusu "One day kuwafahamu hawa Wadada" walau kwenda kula Mihogo pale Kambi ya Fisi karibu na Arucha Tech?

I don't really care... as long as you can make me orgasm.

Take what you have and use it well, never mind what everybody else has got.

halaf unaweza kudhani una mguu mdogo kumbe shida ni kwenye size ya kiatu ulichonacho

Sema hakyamungu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom