Kwa niaba ya 'TIMU VIBAMIA' nasema ahsante sana.
Haa haa haa! ameweka mambo level.
Kwa niaba ya 'TIMU VIBAMIA' nasema ahsante sana.
Heaven on Earth, today you're the hero of MMU. You have brought confidence to majority of men in this forum.
Nyie wadada hamjui kiasi gani wanaume wanakosa amani mkiwananga kuwa "vibamia" Ona sasa wanavyokupa "milike" ya kufa mtu....lol
One thing for sure wanavyoita "vibamia" ndo wanazidi kuwapotezea confidence zaidi mtu anaingia kwenye game na msongo wa mawazo kuhusu kibamia anapiga kimoja chali
yeah naijua...kumbe inasaidia
swali gumu??????????
taka jua hyo meditation, kuwaje hyo yahee.
Mie Fupi lakini nene Nagonga Angle km sina akili nzuri lazima ugugumie kakojo\......,,waaaaa
Mkuu reaction yake ilikuwaje? Malizia utamuhuo msemo niliuona umeandikwa kwenye trailer moja ,nilikuwa na mdada namuheshimu pembeni yangu,sikutaka kuli overtake hilo lory makusudi ili nione reaction yake yule dada.
ni wapenzi tunaoishi mbali mbali(It's complicated)
Kwa hiyo umeachika? Spare Tyre nipo hapa