adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,474
- 33,502
Moja kwa moja.
Baada ya Oct 7 Hamas kufanya tukio baya la kijinga ambalo hata Mimi nilililani hapa Jf , serikali ya Netanyahu chini ya IDF ikafanya mashambulizi na mauaji ya kutisha ambayo waaathirika hawakuwa Hamas peke yake mpaka Raia wasiokuwa na Hatia katika Wazee , watoto nk. Na wakaenda mbali zaidi watu mpaka wakazuia vyakula na huduma muhimu kuingia kisa justification ya kuwaangamiza Hamas.
Hali ilivyokuwa Jf.
Hapa Jf Kuna watu wengi walishangilia mauaji wakasema sawa tu hata vitoto kuuliwa maana hilo halikwepeki .
Tena wengine wakaenda mbali walifurahi na kufanya mzaha kwenye uhai wa binadamu wenzao . Mfano ni member huyu @Maghayo👇👇
Nikawaonya Mimi.
Ukijustify kuua watoto na wasio na hatia kisa kutafuta wahuni wachache ipo siku mtu atakuja kuua Familia yenu au mtu wako wa karibu kwa kisingizio kama hiko , je utafurahi ?
Nikasema ni sawa mtu au Familia yenu sababu ya mtu mmoja muovu au sawa kuharibu nyumba nzima na kuchoma moto kisa Kuna mdudu kaingia ndani ?
Jamaa Maghayo Busu la Kenge akaendelea kumtukana na kutamka maneno mabaya na ya hovyo zaidi kuwa Gaza yote isafishwe asiachwe hata kiumbe bila kujali lolote.
Baada ya kunitamkia kauli hiyo nilichukia mno nikasema sitojadiliana na wewe tena kuanzia sasa na kumtamkia maneno ya hasira ambayo nayanukuu hapa "Nakuahidi kabla ya kufa maneno haya maovu uliyosema lazima yataurudia na usipotubu unaweza kufa kifo kibaya sana mark my words " jamaa akaendeleza mizaha yake Mimi nikampuuza.
Ikaja October 29
Baada ya kutokea yaliyotokea sijui kama alipoteza ndugu au uchunguzi wa kibinadamu tu ulimjia ila jamaa alikosa raha kabisa na mood ya kuishi alikuwa kama mtu aliyechanganyikwa huku alilaana mauaji ya hovyo yaliyofanyika kwa uchunguzi mkubwa.
Ogopga Teknolojia : Risiti yake ya kushangilia mauaji ya dhuluma niliitunza kwa muda mrefu sana sababu nilijua ipo siku alichofurahia kita mrudia au kumuathiri kwa namna yeyote ile.
Sasa juzi nilimkubushia na kumuonyesha yale alivyokuwa anafurahia kipindi cha nyuma na kuona damu za watu ni kitu cha mzaha . Siamini macho yangu Maghayo Busu la Kenge ametubu na kukiri kuwa alikosea Kama inavyojionyesha hapo chini 👇 ⬇️
Je , Kuna funzo tumepata hapo ?
#UziTayari
Baada ya Oct 7 Hamas kufanya tukio baya la kijinga ambalo hata Mimi nilililani hapa Jf , serikali ya Netanyahu chini ya IDF ikafanya mashambulizi na mauaji ya kutisha ambayo waaathirika hawakuwa Hamas peke yake mpaka Raia wasiokuwa na Hatia katika Wazee , watoto nk. Na wakaenda mbali zaidi watu mpaka wakazuia vyakula na huduma muhimu kuingia kisa justification ya kuwaangamiza Hamas.
Hali ilivyokuwa Jf.
Hapa Jf Kuna watu wengi walishangilia mauaji wakasema sawa tu hata vitoto kuuliwa maana hilo halikwepeki .
Tena wengine wakaenda mbali walifurahi na kufanya mzaha kwenye uhai wa binadamu wenzao . Mfano ni member huyu @Maghayo👇👇
Nikawaonya Mimi.
Ukijustify kuua watoto na wasio na hatia kisa kutafuta wahuni wachache ipo siku mtu atakuja kuua Familia yenu au mtu wako wa karibu kwa kisingizio kama hiko , je utafurahi ?
Nikasema ni sawa mtu au Familia yenu sababu ya mtu mmoja muovu au sawa kuharibu nyumba nzima na kuchoma moto kisa Kuna mdudu kaingia ndani ?
Jamaa Maghayo Busu la Kenge akaendelea kumtukana na kutamka maneno mabaya na ya hovyo zaidi kuwa Gaza yote isafishwe asiachwe hata kiumbe bila kujali lolote.
Baada ya kunitamkia kauli hiyo nilichukia mno nikasema sitojadiliana na wewe tena kuanzia sasa na kumtamkia maneno ya hasira ambayo nayanukuu hapa "Nakuahidi kabla ya kufa maneno haya maovu uliyosema lazima yataurudia na usipotubu unaweza kufa kifo kibaya sana mark my words " jamaa akaendeleza mizaha yake Mimi nikampuuza.
Ikaja October 29
Baada ya kutokea yaliyotokea sijui kama alipoteza ndugu au uchunguzi wa kibinadamu tu ulimjia ila jamaa alikosa raha kabisa na mood ya kuishi alikuwa kama mtu aliyechanganyikwa huku alilaana mauaji ya hovyo yaliyofanyika kwa uchunguzi mkubwa.
Ogopga Teknolojia : Risiti yake ya kushangilia mauaji ya dhuluma niliitunza kwa muda mrefu sana sababu nilijua ipo siku alichofurahia kita mrudia au kumuathiri kwa namna yeyote ile.
Sasa juzi nilimkubushia na kumuonyesha yale alivyokuwa anafurahia kipindi cha nyuma na kuona damu za watu ni kitu cha mzaha . Siamini macho yangu Maghayo Busu la Kenge ametubu na kukiri kuwa alikosea Kama inavyojionyesha hapo chini 👇 ⬇️
Je , Kuna funzo tumepata hapo ?
#UziTayari