Kitrack
Member
- Dec 11, 2011
- 50
- 16
Habari za Asubuhi wadau,naomba mnijuze kuhusu hili suala.
Juzi nimenunua pakti la korosho pale Kisutu sokoni zikiwa fresh zikinukia vizuri, nikaanza kula kidogo.
Kwa kuwa nilinunua kilo nzima nikaja nazo hadi nyumbani, usiku watu wakala.
Asubuhi siku ya pili nataka kupata kifungua kinywa,nikachukua kisosi nikaweka korosho kidogo..dah nikaona funza mmoja anatoka kwenye korosho.Ikanibidi nianze kuzikagua moja moja ndipo nilipogundua nyingi zinafunza wadogo(larvae sijui) na nyingine funza wakubwa.
Je, funza hawa ukiwala na korosho hawana madhara kiafya?
Na Je, funza hawa wanapatikanaje ndani ya korosho ambayo haina hata katobo?.
Natanguliza shukrani.
Juzi nimenunua pakti la korosho pale Kisutu sokoni zikiwa fresh zikinukia vizuri, nikaanza kula kidogo.
Kwa kuwa nilinunua kilo nzima nikaja nazo hadi nyumbani, usiku watu wakala.
Asubuhi siku ya pili nataka kupata kifungua kinywa,nikachukua kisosi nikaweka korosho kidogo..dah nikaona funza mmoja anatoka kwenye korosho.Ikanibidi nianze kuzikagua moja moja ndipo nilipogundua nyingi zinafunza wadogo(larvae sijui) na nyingine funza wakubwa.
Je, funza hawa ukiwala na korosho hawana madhara kiafya?
Na Je, funza hawa wanapatikanaje ndani ya korosho ambayo haina hata katobo?.
Natanguliza shukrani.