mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,324
- 1,116
Umefunika chakula vizuri kabisaa, hakuna nafasi ya kuingia mdudu yeyote, ila bahati mbaya ukasahau kukiweka kwenye friji.
Siku kadhaa zinapita unafunua chakula unakuta kimeharibika na funza tele wamejaa, wametokea wapi hawa funza?
Nyama ipo ndani ya mfuko au chombo bahati mbaya imeoza unakuta funza kibao, tena wakubwa, wanatokea wapi hawa funza?
Hawa funza huwa wanatokea wapi? ninajiuliza mara nyingi sijawahi pata majibu!!
Siku kadhaa zinapita unafunua chakula unakuta kimeharibika na funza tele wamejaa, wametokea wapi hawa funza?
Nyama ipo ndani ya mfuko au chombo bahati mbaya imeoza unakuta funza kibao, tena wakubwa, wanatokea wapi hawa funza?
Hawa funza huwa wanatokea wapi? ninajiuliza mara nyingi sijawahi pata majibu!!