mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Mi nadhani kuna story nyingine kabsaa kuhusu funza.
Kwa wale wenzangu na mimi tuliowahi kukata magogo polini mtanielewa.
Ukishusha kitu ghafra utaona nzi wa kijani wanaopatikana vyooni wameripoti,mara wanatotoa funza wadogo weupe.nadhani maisha ya inzi yanaanzia mazingira kama yale.
Sasa vip ndani ya chupa iliyofungwa madhubuti kwa mfuniko,fridge ambayo hujaifunguliwa mlango mwezi mzima ikiwa haijawasha na samaki ndani yake???.labda mniambie huwa mayai yameishatagwa.ingawa jaribio langu litakataa majibu yenu tena.kwani hata uwashe oven pandisha joto mpaka mwisho kwa lengo la kuua mayai,kisha ikiwa ya moto hivyo hivyo chukua mshikaki wa mbuzi choma ukiwa unatoka jikoni na moto wake kisha fungia humo.zima oven usiiwashe siku 7 hakikisha hakuna hewa mpya itaingia humo.kisha rudi hapa uliwa na mshangao na maswali kama yangu.
Kwa wale wenzangu na mimi tuliowahi kukata magogo polini mtanielewa.
Ukishusha kitu ghafra utaona nzi wa kijani wanaopatikana vyooni wameripoti,mara wanatotoa funza wadogo weupe.nadhani maisha ya inzi yanaanzia mazingira kama yale.
Sasa vip ndani ya chupa iliyofungwa madhubuti kwa mfuniko,fridge ambayo hujaifunguliwa mlango mwezi mzima ikiwa haijawasha na samaki ndani yake???.labda mniambie huwa mayai yameishatagwa.ingawa jaribio langu litakataa majibu yenu tena.kwani hata uwashe oven pandisha joto mpaka mwisho kwa lengo la kuua mayai,kisha ikiwa ya moto hivyo hivyo chukua mshikaki wa mbuzi choma ukiwa unatoka jikoni na moto wake kisha fungia humo.zima oven usiiwashe siku 7 hakikisha hakuna hewa mpya itaingia humo.kisha rudi hapa uliwa na mshangao na maswali kama yangu.