Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
haaaaa wajameni vp tena
nahitaji hayo ma clips nivunje mambavu
Mmenichekesha sana, kumbe na hapa kuna vituko eh?
Leo nimeikumbuka hii topic. Hebu niongeze japo picha tu.duh, hiyo ni kali!
Kwa wenye wake najua hii inaweza kukusababishia ku-Ditopile mtu ghafla.
Angalia chini (download)
Huwa tunalilia barabara za juu na za kupitia chini kwa chini zije Dar! Tunajua mabalaa yake?
Hebu angalia hii ya Urusi!
Siku njema kwa wote