Funny video clips + Photos

Kama unafanya kazi na 'Weupe' au una boss 'mweupe' basi usiikose hii. Hahahaha... almost the truth about many of them.

Ukiwa mgumu kuelekezwa kazi maamuzi kama haya yatafuatia. Ndo bonus nzuri ya kazi kutolewa na boss!

W/end njema
 

Attachments

  • GoodBoss.zip
    319.3 KB · Views: 296
Mh
Hapana hii ajali ni ya kufoji au realy maana da si utani inatisha jamaa kapepetwa vibaya mno.
 
Wazee hapa wengi huwa tunachemka kama jamaa anavyoonekana kukolea kwa kimwana katika kideo hiki:-

See
 

Attachments

  • Bitoz.zip
    661.7 KB · Views: 259
Huwa tunalilia barabara za juu na za kupitia chini kwa chini zije Dar! Tunajua mabalaa yake?

Hebu angalia hii ya Urusi!

Siku njema kwa wote
 
duh, hiyo ni kali!
Leo nimeikumbuka hii topic. Hebu niongeze japo picha tu.

f_Signaturem_6991d66.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom