Funguka kero au matatizo yako tupeane ushauri

adden

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
7,035
15,540
Hi,

Wanajamii leo nimeona nianzishe hii thread ya mtu kutoa dukuduku lake kwa kile kinachomsibu au kumkwaza katika maisha yake mfano ndoa,kazi,wivu au kusongwa na ndugu na kadhalika.

Najua katika hali ya kawaida hakuna asiye na matatizo ila tu yanapishana kuna wenye makubwa na madogo ila haijalishi yote ni matatizo tu.Mazingira tunayoishi yamekuwa sio rafiki yaani usaliti uonevu ndugu kukusonga kwa mabaya.

Kudharaulika hivyo kujikuta katika wakati mgumu wa kutaka hata kujikimbia ila ni kitu kisichowezekana bali kinachowezekana kwa wakati huo ni kukabiliana na changamoto hizo yaani ifikie mahali matatizo yakuogope.
Nianze na mimi maana pia ni mhanga wa malimwengu.

Sina raha wala amani ingawa najitahidi japo kuandika huu uzi ila machozi yanachuruzika kwa jinsi ndugu zangu wanavyonisema vibaya hadi kwa watu wa nje kitu kinapelekea hadi watu wanidharau na kunishusha ujue heshima huanzia ndani hivyo ikitokea wakakudharau ujue hata nje itafika utaonekana huna maanaIila yote namwachia Mungu iko siku ataniinua katika daraja la heshima.
 
Tatizo langu nahitaji sana kuwa playboy,ila naogopa sana kupata Ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa,sipendi kutumia condoms,na wanawake wachache niliotongoza kutaka kupiga papuchi baada ya kuwaambia kupima afya huwa wanayeya.Ushauri pls
 
Tatizo langu nahitaji sana kuwa playboy,ila naogopa sana kupata Ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa,sipendi kutumia condoms,na wanawake wachache niliotongoza kutaka kupiga papuchi baada ya kuwaambia kupima afya huwa wanayeya.Ushauri pls
Piga pulgaja!kuna aina nyingi za puli ambazo hazina madhara kwa baadae na zinaleta raha sana.ukihitaji zaidi takupa maelekezo pulgaja ambayo salama kwa afya yako
 
kero yangu ni kutoliona bunge live, naombeni ushauri wakuu!!
Hilo swala liko ktk mchakato km jinsi unavyoona wabunge wanazira bunge huku wamebana pua zao!!kwa mwendo wa kuzira lazma serikali ipunguze makucha yake
 
Mimi kero yangu umri unaenda halafu ndio kwanza dunia inazalisha watoto bomba siyo kama wa enzi zetu,natamani niwe na umri wa miaka kama 17 ili niende nao sawa. unanishauri nini hapo hiyo ndiyo kero yangu kubwa mkuu.
 
Mimi kero yangu umri unaenda halafu ndio kwanza dunia inazalisha watoto bomba siyo kama wa enzi zetu,natamani niwe na umri wa miaka kama 17 ili niende nao sawa. unanishauri nini hapo hiyo ndiyo kero yangu kubwa mkuu.
N'gombe hazeeki maini!ila kama una hela mbona unalala nao mbele hao tena unatafuna hadi mifupa ya kuku wa kienyeji
 
Kero yangu kuna kampuni moja walinzi wa mipaka wadau wa UN na wizara ya ulinzi. Hii kampuni wanawafanya watanzania wajinga, wanawaisainisha mikataba ya kufanya kazi wakishaanza kazi wanawapa mikataba mingine wakijifanya ni fomu kumbe mikataba hii mipya inasema wanajitolea wakisubiri ajira!! Kazi ni very risky wako maporini huko mipakani hawalipwi mshahara Kuna ndugu yangu alipatwa na hilo wanatumia cheap labour au utumwa, wanawatumikisha kwa kuwamanipulate kwamba wanawapima
 
Piga pulgaja!kuna aina nyingi za puli ambazo hazina madhara kwa baadae na zinaleta raha sana.ukihitaji zaidi takupa maelekezo pulgaja ambayo salama kwa afya yako

Yaan mimi nakwambia papuchi we unasema Pulgaja,siwez fanya hiyo kitu aisee.
 
Kero yangu kuna kampuni moja walinzi wa mipaka wadau wa UN na wizara ya ulinzi. Hii kampuni wanawafanya watanzania wajinga, wanawaisainisha mikataba ya kufanya kazi wakishaanza kazi wanawapa mikataba mingine wakijifanya ni fomu kumbe mikataba hii mipya inasema wanajitolea wakisubiri ajira!! Kazi ni very risky wako maporini huko mipakani hawalipwi mshahara Kuna ndugu yangu alipatwa na hilo wanatumia cheap labour au utumwa, wanawatumikisha kwa kuwamanipulate kwamba wanawapima
Jambo hılı halıpo huko mıpakanı tu hata huku waajırıwa wengı wamekuwa wahanga wa kutumıkıshwa na kupewa mıkataba fekı halı kadhalıka wengıne wanaelewa hakı zao zınamınywa ıla sababu ajıra nı ngumu huna budı kutumıkıshwa kıkafırı.tena wahındı na vetenam wanafanyısha watu kazı hawawalıpı ovataımu mıkataba fekı etı unapewa mkataba wa mıezı mıtatu hapo probatıon ımeısha!mıez mı3 huo mkataba wa mwezını sıo huku dunıanı.lakını uzurı kuna vyama vya kutetea wafanyakazı tuıco na vıngınevyo vınatoa msaada mkubwa sana jıungenı navyo
 
Back
Top Bottom