Fungu la Kumi: Ni lazima?

Fungu la Kumi: Ni lazima?

Kuna kisa kimoja kilinifanya niamin haya mafungu ya 10 ni wizi mtupu
Kuna mama alifiwa na mume wake, yule mama alishiba sana imani na akawa anatoa fungu la 10 kila akipata hela, ilifika hatua Hadi hela za mikopo anatoa fungu la 10, baada ya maisha kuwa magumu aliamua kuuuza hiace yake kwa 10M kwakua alimuamin sana mchungaji alimuomba mchungaji amtafutie mteja kwahiyo hata hyo 10M ilipitia kwa mchungaji bila huruma wala kujua shida za yule mama , mchungaji alimpelekea mama 9M tu anamwambia kuwa 1M ni fungu la 10 ameikata juu kwa juu

Maisha yakaendelea lakin mambo yakazidi kuwa magumu biashara zikawa zimedorora sana ikafika hatua yule mama akaenda kuchukua mkopo wa 100M kupitia nyumba yake ili alipe madeni na kuboresha biashara yake siku ya kwenda kuchukua mkopo akaenda na bint yake pamoja na mchungaji baada ya hela kuingizwa kwenye accnt ya mama, yule mchungaji akamwambia mama "Nipe changu" chako kipi? Jamaa fungu la 10 ambayo itakua ni 10M mama akajikaza sana kutokana na ujinga wake wa kulewa kiimani kweli akamuingizia mchungaji 10M kweny accnt yake binafsi kama fungu la 10, mchungaji alivyokua Hana aibu akamuomba yule maza amuongezee 5M ili iwe 15M kuulizwa sababu? Akajibu Kuna gari anaipenda sana na hiyo ndo bei yake kwahyo akamuomba mama amuongezee 5M maza akampa jamaa akaenda kununua gari.

Yule mama Leo hii amefilisika lakin waliochangia kumfilisi kwa asilimia 50% ni Hawa watu wa dini hawa, hizi habari za fungu la 10 kama kweli unataka kutoa basi wapelekee mayatima na watu wasio jiweza kwa kuwanunulia mahitaji muhimu la sivyo utajikuta sadaka yako inatengeneza maisha ya watu binafsi tu kitu ambacho kinatafsirika ni utapeli
Kwa kweli ishu ya fungu la kumi huwa linanichanganya sana....huwa najiuliza kama kuna mtu unaona kabisa anahitaji msaada wa hali na mali...je unamuacha halafu unakwenda kumpa Gwajiboy hiyo hela ? matokea jamaa mhitaji anateseka na huku Gwajiboy anaongeza liHammer jingine!
 
Kwa cc watoto wa baba Paroko tuna matendo ya huruma
Kwa kweli ishu ya fungu la kumi huwa linanichanganya sana....huwa najiuliza kama kuna mtu unaona kabisa anahitaji msaada wa hali na mali...je unamuacha halafu unakwenda kumpa Gwajiboy hiyo hela ? matokea jamaa mhitaji anateseka na huku Gwajiboy anaongeza liHammer jingine!
 
Nilivyoielewa michango ya wadau ni Walawi walipaswa kupewa kwa sabab wao hawafanyi shughul za uzalishaj isipokuwa wao wanahudumu ktk nyumba za ibada na ndio maana wanapaswa kupewa fungu ili waweze kujikimu.

Lkn kwa mazingira ya sasa taasis zetu za ibada zina miradi kibao inayoingiza mamilion ya shilingi na hata hao wanaohudumu ni waajiriwa na mishahara wanalipwa.

Na hapo ndipo unapokuja utofaut wa sabab zilizopelekea kuwekwa utaratibu wa kutoa fungu ili kuwezesha shughul ziendelee ktk nyumba za ibada na hali ya sasa ambayo imezifanya nyumba za ibada kuwa na ukwasi wa kutosha kuziwezesha kujihudumia zenyew kwa kuwalipa wanaohudumu.

Km ingewezekana kifungu hiki kinachoelezea kuhusu fungu kilipaswa kuangaliwa upya kutokana na mazingira ya sasa.
 
I understand everything kuhusu why Zaka zinatolewa kwa Walawi hili sio ishu kwenye hii convesation.

Walawi waliteuliwa na Mungu kuwa ukoo wa kikuhani na kwa sababu jukumu lao litakuwa ni kati ya makabila yote hivyo wakapewa miji ndani ya kila kabila.Na sababu hii sasa hawakumiliki ardhi ya kilimo wala hawakushughulika na shughuli za uzalishaji,their sole role was to minister in the house of the Lord.

Na kwa kuwa hawakuhusika na uzalishaji Mungu akaagiza fungu la kumi kwa ajili ya huduma za hekaluni na watumishi wake (Walawi).

Aina ya kwanza ya zaka iliyotajwa inatolewa kwa ajili ya Ministry kwa Walawi.Hii haina mjadala.Hii ni kwa ajili ya Mungu.

Aina ya pili ilikuwa kwa ajili ya mtu mwenyewe,alitakiwa kila mwaka atenge 10%ya pato lake kwa ajili ya kutumia pamoja na washirika wenzao,ilikuwa ni kama donation kwa ajili ya tafrija.

Aina ya tatu ilikuwa ni kwa ajili ya watu wengine wahitaji.Hii ndio ilikuwa inatolewa kila baada ya miaka mitatu.

Kwa hesabu za haraka haraka huyu mwisrael mmoja alikuwa kila mwaka anatoa minimum of 20 % ya kipato chake kwa ajili ya Zaka.Na kila mwaka wa tatu alikuwa anatoa 30% ya kipato chake kwa ajili ya zaka.This is why nasema hata hiyo 10% inayotolewa leo ni minimum tu.

Suala la kutoa 10% kila mwezi au kila siku halifanyi kiwango cha utaoji kwa mwaka kizidi 10%.Sana sana kitakusaidia kujua exactly how much unatakiwa utoe kwa mwaka as tithe. Waisael walikuwa wanatoa kwa mwaka kwa sababu shughuli zao zilikuwa ni za msimu mfano kilimo na ufugaji. Hata sasa unaweza kukusanya kipato chako kila siku ukaenda kukitoa mwisho wa mwaka.
Kuna watu walikuwa wanafanya kazi tofauti na kilimo wala hawakutoa. Sababu haikuwahusu. Iliwahusu tu wale wenye ardhi. Na ilikuwa ni mwaka to mwaka sababu kilimo ndio kilivyo na sababu aliwapa ardhi then alitaka kinachotokana na ardhi tu. It was never money. And ilikuwa ni sheria.
 
Nilivyoielewa michango ya wadau ni Walawi walipaswa kupewa kwa sabab wao hawafanyi shughul za uzalishaj isipokuwa wao wanahudumu ktk nyumba za ibada na ndio maana wanapaswa kupewa fungu ili waweze kujikimu.

Lkn kwa mazingira ya sasa taasis zetu za ibada zina miradi kibao inayoingiza mamilion ya shilingi na hata hao wanaohudumu ni waajiriwa na mishahara wanalipwa.

Na hapo ndipo unapokuja utofaut wa sabab zilizopelekea kuwekwa utaratibu wa kutoa fungu ili kuwezesha shughul ziendelee ktk nyumba za ibada na hali ya sasa ambayo imezifanya nyumba za ibada kuwa na ukwasi wa kutosha kuziwezesha kujihudumia zenyew kwa kuwalipa wanaohudumu.

Km ingewezekana kifungu hiki kinachoelezea kuhusu fungu kilipaswa kuangaliwa upya kutokana na mazingira ya sasa.
Yes hapa ndo wanapokosea. Wameona ni easy money na waumini wao wanaamini kila wanachowaambia so it's easy to convince them. Huyu mlawi wa sana Ana mishahara Ana marupurupu Ana posho yaani Wako vzri kuliko waumini and still they want that LEVITE TITLE. . Zamani walikuwa wanatuhubiria kutoa kwa moyo but now wamepiga turn now ni 10% lazima lazima. Wanasahau ukifuata kibible ni zaidi hata ya huyo 10%. Yaani wameenda agano la kale wakakimbia na fungu la 10 tu. Maana now ndo mahubiri everywhere hata yale ya mahusiano binafsi na Mungu hayapo. Why 2005 kurudi nyuma hakukuwa na Haya mahubiri??
 
Mi nimeamua tu najisalia mwenyewe home, nasoma bible yangu naweka fungu la kumi kwenye kibubu.
Mwaka mzima si haba.simpi mtu yoyote huko kanisani au sijui pastor Masanja mkandamizaji, sijui pilipili wakafie mbere
 
Fungu la kumi kapanga Mungu mwenyewe. Inaitwa Zaka kwa Kiswahili na TITHE kwa kiingereza. Ukipitia Biblia yako ambayo cleary unaonekana huisomi bwana Joseph utaona haya yote yameandikwa kwa uwazi kabisa.
Kwanini Yesu hajazungumzia kabisa fungu la kumi??
 
Unajaribiwa kwa kidogo unachopewa ili uonyeshe uaminifu wako utakapopewa kikubwa imagine ukipewa 15,000,000 ukatakiwa utoe 1,500,000 hapo ndio ungeona maumivu hatari
 
Mi nimeamua tu najisalia mwenyewe home, nasoma bible yangu naweka fungu la kumi kwenye kibubu.
Mwaka mzima si haba.simpi mtu yoyote huko kanisani au sijui pastor Masanja mkandamizaji, sijui pilipili wakafie mbere
Duuuu!!!!inamaana hilo fungu mtoaji ndio mpokeaji???
 
Fungu la kumi halina substitute.Hilo linatolewa kama lilivyo.The concept ni kutambua kuwa Mungu amekupa 15000 ili umpe 1500.Otherwise angekupa tu 13500.Kwa hiyo its not your money to decide its his money.

(Find a book called Financial Stewardship cha Andrew Wommack ameelezea vizuri sana humo)
Aliyefanya kazi ni nani ili ku justify hio kauli yako? Padri au mwamba?
 
Hakuna mahali kwenye Biblia pameonyesha ulazima wa ndoa kufungwa kanisani ila wachungaji wamelazimisha hilo.
Kitimoto kwenye agano la kale kimekstazwa, agano jipya kwakuwa hajazungumzwa nguruwe basi ni halali, ila fungu la kumi kwenye Malaki yaani agano la kale ndiko reference kuu ya patapeli makanisani huku agano jipya 10% imetupilia mbali.
Yesu zaka kataja mara 1 tu katika miaka yake yote 3 ya utumishi wake na hakuitaja kama msisitizo bali aligusia tu juu ya mada fulani.
Wengi wamepata laana kwa ujinga wao, wamemezeshwa kuwa usipotoa 10% unalaaniwa na kwakuwa mjinga hula ujinga wake ndipo anajilaani mwenyewe.
Ukweli ni kwamba hakuna laana unayoweza kuipata kwa kutokutoa fungu la 10 kanisani.
 
Mi nimeamua tu najisalia mwenyewe home, nasoma bible yangu naweka fungu la kumi kwenye kibubu.
Mwaka mzima si haba.simpi mtu yoyote huko kanisani au sijui pastor Masanja mkandamizaji, sijui pilipili wakafie mbere
Good hata Bible imesema itumie jinsi upendavyo hata kwa mvinyo
 
Back
Top Bottom