Fungu la Kumi: Ni lazima?

Fungu la Kumi: Ni lazima?

Wa kwetu hapa anatembelea vi8 anazo zaid ya kumi hilo jumba analoish balaa anawasaidiz binafs kibao na anatusisitiza ukitoa fungu dai risit kwa lugha nzuri jamaa anajiweza
Huyo ni wale wa Ministry (siyo Church) ambao hawasomagi taarifa ya fedha na sadaka, bali zinakusanywa tu na kutumika bila ripoti, hawanaga hata mikutano ya mwaka ya kusoma mapato na matumizi. Falsafa yao ni kuwa huko ambako taarifa zinasomwa ndiko kuna vita kali ya fedha, kwamba ukiishaanza tu kusoma taarifa za sadaka basi ujuwe umekaribisha vita kwenye huduma. Fundisha/hubiri watu kutoa tu bila kutangaza walichotoa na kilivyotumika. Sometimes ukiangalia hii falsafa kwa umakini unaona ukweli fulani hivi!
 
Kuna kisa kimoja kilinifanya niamin haya mafungu ya 10 ni wizi mtupu
Kuna mama alifiwa na mume wake, yule mama alishiba sana imani na akawa anatoa fungu la 10 kila akipata hela, ilifika hatua Hadi hela za mikopo anatoa fungu la 10, baada ya maisha kuwa magumu aliamua kuuuza hiace yake kwa 10M kwakua alimuamin sana mchungaji alimuomba mchungaji amtafutie mteja kwahiyo hata hyo 10M ilipitia kwa mchungaji bila huruma wala kujua shida za yule mama , mchungaji alimpelekea mama 9M tu anamwambia kuwa 1M ni fungu la 10 ameikata juu kwa juu

Maisha yakaendelea lakin mambo yakazidi kuwa magumu biashara zikawa zimedorora sana ikafika hatua yule mama akaenda kuchukua mkopo wa 100M kupitia nyumba yake ili alipe madeni na kuboresha biashara yake siku ya kwenda kuchukua mkopo akaenda na bint yake pamoja na mchungaji baada ya hela kuingizwa kwenye accnt ya mama, yule mchungaji akamwambia mama "Nipe changu" chako kipi? Jamaa fungu la 10 ambayo itakua ni 10M mama akajikaza sana kutokana na ujinga wake wa kulewa kiimani kweli akamuingizia mchungaji 10M kweny accnt yake binafsi kama fungu la 10, mchungaji alivyokua Hana aibu akamuomba yule maza amuongezee 5M ili iwe 15M kuulizwa sababu? Akajibu Kuna gari anaipenda sana na hiyo ndo bei yake kwahyo akamuomba mama amuongezee 5M maza akampa jamaa akaenda kununua gari.

Yule mama Leo hii amefilisika lakin waliochangia kumfilisi kwa asilimia 50% ni Hawa watu wa dini hawa, hizi habari za fungu la 10 kama kweli unataka kutoa basi wapelekee mayatima na watu wasio jiweza kwa kuwanunulia mahitaji muhimu la sivyo utajikuta sadaka yako inatengeneza maisha ya watu binafsi tu kitu ambacho kinatafsirika ni utapeli
 
Kuna kisa kimoja kilinifanya niamin haya mafungu ya 10 ni wizi mtupu
Kuna mama alifiwa na mume wake, yule mama alishiba sana imani na akawa anatoa fungu la 10 kila akipata hela, ilifika hatua Hadi hela za mikopo anatoa fungu la 10, baada ya maisha kuwa magumu aliamua kuuuza hiace yake kwa 10M kwakua alimuamin sana mchungaji alimuomba mchungaji amtafutie mteja kwahiyo hata hyo 10M ilipitia kwa mchungaji bila huruma wala kujua shida za yule mama , mchungaji alimpelekea mama 9M tu anamwambia kuwa 1M ni fungu la 10 ameikata juu kwa juu

Maisha yakaendelea lakin mambo yakazidi kuwa magumu biashara zikawa zimedorora sana ikafika hatua yule mama akaenda kuchukua mkopo wa 100M kupitia nyumba yake ili alipe madeni na kuboresha biashara yake siku ya kwenda kuchukua mkopo akaenda na bint yake pamoja na mchungaji baada ya hela kuingizwa kwenye accnt ya mama, yule mchungaji akamwambia mama "Nipe changu" chako kipi? Jamaa fungu la 10 ambayo itakua ni 10M mama akajikaza sana kutokana na ujinga wake wa kulewa kiimani kweli akamuingizia mchungaji 10M kweny accnt yake binafsi kama fungu la 10, mchungaji alivyokua Hana aibu akamuomba yule maza amuongezee 5M ili iwe 15M kuulizwa sababu? Akajibu Kuna gari anaipenda sana na hiyo ndo bei yake kwahyo akamuomba mama amuongezee 5M maza akampa jamaa akaenda kununua gari.

Yule mama Leo hii amefilisika lakin waliochangia kumfilisi kwa asilimia 50% ni Hawa watu wa dini hawa, hizi habari za fungu la 10 kama kweli unataka kutoa basi wapelekee mayatima na watu wasio jiweza kwa kuwanunulia mahitaji muhimu la sivyo utajikuta sadaka yako inatengeneza maisha ya watu binafsi tu kitu ambacho kinatafsirika ni utapeli
Kwani Biblia si iko wazi? Kwanini usubiri kusomewa na Mchungaji? Zipo Biblia hata za kilugha. Tunaangamia kwa kukosa maarifa! Baghosha!
 
Kuna kisa kimoja kilinifanya niamin haya mafungu ya 10 ni wizi mtupu
Kuna mama alifiwa na mume wake, yule mama alishiba sana imani na akawa anatoa fungu la 10 kila akipata hela, ilifika hatua Hadi hela za mikopo anatoa fungu la 10, baada ya maisha kuwa magumu aliamua kuuuza hiace yake kwa 10M kwakua alimuamin sana mchungaji alimuomba mchungaji amtafutie mteja kwahiyo hata hyo 10M ilipitia kwa mchungaji bila huruma wala kujua shida za yule mama , mchungaji alimpelekea mama 9M tu anamwambia kuwa 1M ni fungu la 10 ameikata juu kwa juu

Maisha yakaendelea lakin mambo yakazidi kuwa magumu biashara zikawa zimedorora sana ikafika hatua yule mama akaenda kuchukua mkopo wa 100M kupitia nyumba yake ili alipe madeni na kuboresha biashara yake siku ya kwenda kuchukua mkopo akaenda na bint yake pamoja na mchungaji baada ya hela kuingizwa kwenye accnt ya mama, yule mchungaji akamwambia mama "Nipe changu" chako kipi? Jamaa fungu la 10 ambayo itakua ni 10M mama akajikaza sana kutokana na ujinga wake wa kulewa kiimani kweli akamuingizia mchungaji 10M kweny accnt yake binafsi kama fungu la 10, mchungaji alivyokua Hana aibu akamuomba yule maza amuongezee 5M ili iwe 15M kuulizwa sababu? Akajibu Kuna gari anaipenda sana na hiyo ndo bei yake kwahyo akamuomba mama amuongezee 5M maza akampa jamaa akaenda kununua gari.

Yule mama Leo hii amefilisika lakin waliochangia kumfilisi kwa asilimia 50% ni Hawa watu wa dini hawa, hizi habari za fungu la 10 kama kweli unataka kutoa basi wapelekee mayatima na watu wasio jiweza kwa kuwanunulia mahitaji muhimu la sivyo utajikuta sadaka yako inatengeneza maisha ya watu binafsi tu kitu ambacho kinatafsirika ni utapeli
Toeni mifano ya kweli
 
Yes uko sawa. Tatizo wahubiri wa Sasa wameifanya ni sheria yaani tumerudi kule kule na ndio maana inakuwa ngumu kwa watu kutoa ikishakuwa sheria then inakuwa shuruti mwisho inakuwa sio kwa moyo. Tangu miaka ya karibuni kuanzia nadhani 2005 baada ya Haya makanisa mapya kuingia ndo wakaja na hii upepo wa fungu la. 10 na pia kwa kujua ukweli na wasiiwambia watu kuwa kwa Mungu Sasa hakuna asilimia bali Kuna kutoa kwa MOYO ndo wameifanya shida kwa watu kutoa na pia wanasema kabisa ukishindwa kutoa Mungu anakullaani. Seriously?! Nilimsikia kabisa mtumishi ndani ya Kanisa langu akitamka maneno hayo.
Na shinda nyingine ambayo watu wameshindwa kueleweshwa kwenye ishu ya 10% na ndio maana ni ngumu kwa binadamu wa Sasa kutoa ni kuwa Mungu a aliagiza utoe fungu la 10 la "MAONGEO" Yaani kile kinachozidi kutoka kwenye shamba lako. Yaani kama ulipanga kuvuna magunia 50 ukapta 60 then 10% ya yale 10 yaliyozidi sio 50 uliyotegemea kupata. Alijua since zamani kwamba ni ngumu mtu kutoa kile chake ndio maana akawaambia watoe 10 ya MAONGEO maana Hiko kimezidi hukukitegemea. But now watumishi hawaelezi vzri wanamwambia tu muumini toa 10% ya upatacho hiyo ni ngumu na ndio maana ni 15% wanatoa hii kitu. Na hata ukiangalia mfano wa Abraham alitoa 10% ya vitu alivyo chukua Vitani (sio vyake maana alichukua vilivyozidi) so. Mtu wa mshahara anatakiwa atoe 10% ya bonus kama wanapewa ofisini kwao na sio 10% ya salary yake.
Hapo kwenye maongeo kapatazame upya,haiko hivyo Mungu hakuzungumzia umpatie Suplus,in fact he instructed to give before starting spending(the whole idea originated from the principle of firstlings).Ila the point ni kwamba A christian should give more than 10% for him to claim the blessing of tithing and he/she should specifically give for the advancement of ministry.Though not giving itself is not a sin.
 
Kuna kisa kimoja kilinifanya niamin haya mafungu ya 10 ni wizi mtupu
Kuna mama alifiwa na mume wake, yule mama alishiba sana imani na akawa anatoa fungu la 10 kila akipata hela, ilifika hatua Hadi hela za mikopo anatoa fungu la 10, baada ya maisha kuwa magumu aliamua kuuuza hiace yake kwa 10M kwakua alimuamin sana mchungaji alimuomba mchungaji amtafutie mteja kwahiyo hata hyo 10M ilipitia kwa mchungaji bila huruma wala kujua shida za yule mama , mchungaji alimpelekea mama 9M tu anamwambia kuwa 1M ni fungu la 10 ameikata juu kwa juu

Maisha yakaendelea lakin mambo yakazidi kuwa magumu biashara zikawa zimedorora sana ikafika hatua yule mama akaenda kuchukua mkopo wa 100M kupitia nyumba yake ili alipe madeni na kuboresha biashara yake siku ya kwenda kuchukua mkopo akaenda na bint yake pamoja na mchungaji baada ya hela kuingizwa kwenye accnt ya mama, yule mchungaji akamwambia mama "Nipe changu" chako kipi? Jamaa fungu la 10 ambayo itakua ni 10M mama akajikaza sana kutokana na ujinga wake wa kulewa kiimani kweli akamuingizia mchungaji 10M kweny accnt yake binafsi kama fungu la 10, mchungaji alivyokua Hana aibu akamuomba yule maza amuongezee 5M ili iwe 15M kuulizwa sababu? Akajibu Kuna gari anaipenda sana na hiyo ndo bei yake kwahyo akamuomba mama amuongezee 5M maza akampa jamaa akaenda kununua gari.

Yule mama Leo hii amefilisika lakin waliochangia kumfilisi kwa asilimia 50% ni Hawa watu wa dini hawa, hizi habari za fungu la 10 kama kweli unataka kutoa basi wapelekee mayatima na watu wasio jiweza kwa kuwanunulia mahitaji muhimu la sivyo utajikuta sadaka yako inatengeneza maisha ya watu binafsi tu kitu ambacho kinatafsirika ni utapeli
Mchungaj kauzu
 
Kwani Biblia si iko wazi? Kwanini usubiri kusomewa na Mchungaji? Zipo Biblia hata za kilugha. Tunaangamia kwa kukosa maarifa! Baghosha!
Watu wanaombewa na wanapona lakini pia wapo wanaokufa.Mpango wa Mungu ni kumfanikisha mwanadamu ikitokea hufanikiwi jua somewhere kuna kitu hakiko sawa.
 
Key point kwenye haya maagizo ni neno "MAONGEO" wengi wanayaruka Haya but yamebeba maana nzima
Maongeo hapa haijamaanisha Suplus,the key point ni kwamba kama mwaka huu umepata laki utatoa elfu 10,mwakani ukapata laki na ishirini basi utoaji wako usiwe kama wa mwaka jana kwa kuwa kuna increase,therefore utatoa according to the increase that you experienced in the particular year and for this case utatoa elfu 12
 
Ndiyo maana nilichangia hapa kuwa tunafundishwa na kuhimizwa kuishi Agano la Kale la TORATI ya matoleo badala ya Agano Jipya. TORATI imekamilishwa kwenye Agano Jipya kwa UPENDO, na UPENDO huo huo ndiyo Mungu anasisitiza kwa kinywa cha Mtume Paulo kwamba TOENI KWA MOYO MKUNJUFU (Neno moyo mkunjufu maana yake ni kwa upendo na siyo Torati ya Manabii).

Hivyo basi Manabii walitufundisha kutoa kwa sheria (TORATI) Mitume wanatufundisha kutoa kwa moyo mkunjufu (UPENDO). Ukiisha kuwa na upendo moyoni mwako kwa Mungu wako basi kumbe huwezi kumuibia stahili yake kama Malaki anavyotufundisha kwenye sura ya 3:7-12. Tafsiri yake ni kuwa kwenye Agano Jipya moyo mkunjufu (Upendo) tunaofundishwa unaweza kutuongoza kutoa hata zaidi ya kikumi (siyo lazima pungufu ya kikumi au kikumi kamili).
Umeelezea vyema sana
 
Kiukwel hiyo 15k haitosh kitendo cha kuipunguza ni kuongeza tatizo nadhan kanisa linapaswa libun namna mbadala kwa wale wasiomudu kutoa pesa km fungu la kumi
kama haumudu kutoa maybe kipato chako hakitoshi unatakiwa upewe wewe kwakuwa hilo fungu la10 kazi yake ni pamoja na kuwapatia wasiojeweza

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Hapa ulipohighlight wamezumgumzia Tithe for the poor ambayo hua inatolewa kila baada ya miaka 3,hii iko tofauti na ile ya Walawi....Actually zilikuwa zaka zipi za aina tatu.
Imegawanyika hapo ipo ya WALAWI ya mwaka mmoja na miaka mitatu. Sijaona kwenye Bible wakisema 10% ya mwezi. Sababu the point ya 10% asili yake ni WALAWI hawakuwepa ardhi na ndio maana kokote Ambapo Bible ilitamka Dhaka mbele utakutana na. Mlawi sababu sikumpa ardhi. Na ndio asili ya hiyo 10%. Na ndio maana haikuwa pesa. Na pesa zilikuwepo. Pesa Uliruhusiwa kubadili pale tu Mlawi/unapopeleka ni mbali. Soma vzr hilo kumb la torati.
Hili 10% la Sasa ni doctrine mpya kabisa.
 
Na hata hiyo. Malaki bado anaongelea zaka inayotokana na ardhi (ya Israel ambayo aliwapa) ndio maana anaongelea matunda ya ardhi kwahiyo bado ni sheria Ile. Ile kwa yale. Makabila 11 yaliyobaki kwamba wasiache kumtunza mlawi. Ndio hakutaka pesa kabisa na ndio maana a nawaambia nitawalaani kWa kuniibia. Nimewapa ardhi nzuri mwenzenu sijampa kitu halafu mnashindwa kutoa 10% kumsadia mwenzenu.
Sasa ukiniambia hii ni kwa ajili ya wakristo wa Sasa kamwe siwezi kukuelewa.
Hii 10% ya Sasa ni brand new doctrine. Na imekuja miaka. Ya karibu kwa kasi niko. Kanisani karibu miaka 35+ mahubiri yalikiwa Acha dhambi badilisha maisha yako uishi vile. MUNGU anataka. But ghafla 2005+...wakipoona Haya makanisa maoya yamekuja na hii 10% basi hizi taasisi nazo zikaanza mbio mbio kulibebea maana walijua money is there to take. Mpk unajiuliza miaka yote hiyo hilli somo hawakuwahi kuliona natulikuwa tunahuburiwa kutoa kwa moyo just like Paul said. But ghafla kwa. MOYO Ikafifishwa kwanza hata hawana. Muda na hilo somo. But now ni 10% kila. Kona kila J2 ni Hiko tu...... As if tuko chini ya sheria.
 
Fungu langu la kumi namtumia Bi Maza kijijini, na baraka ninaiona, na inanitosha, sisi wengine hatukubahatika wachungaji wa kutushawishi vya kutosha kutokana na tabia zao.
 
Imegawanyika hapo ipo ya WALAWI ya mwaka mmoja na miaka mitatu. Sijaona kwenye Bible wakisema 10% ya mwezi. Sababu the point ya 10% asili yake ni WALAWI hawakuwepa ardhi na ndio maana kokote Ambapo Bible ilitamka Dhaka mbele utakutana na. Mlawi sababu sikumpa ardhi. Na ndio asili ya hiyo 10%. Na ndio maana haikuwa pesa. Na pesa zilikuwepo. Pesa Uliruhusiwa kubadili pale tu Mlawi/unapopeleka ni mbali. Soma vzr hilo kumb la torati.
Hili 10% la Sasa ni doctrine mpya kabisa.
I understand everything kuhusu why Zaka zinatolewa kwa Walawi hili sio ishu kwenye hii convesation.

Walawi waliteuliwa na Mungu kuwa ukoo wa kikuhani na kwa sababu jukumu lao litakuwa ni kati ya makabila yote hivyo wakapewa miji ndani ya kila kabila.Na sababu hii sasa hawakumiliki ardhi ya kilimo wala hawakushughulika na shughuli za uzalishaji,their sole role was to minister in the house of the Lord.

Na kwa kuwa hawakuhusika na uzalishaji Mungu akaagiza fungu la kumi kwa ajili ya huduma za hekaluni na watumishi wake (Walawi).

Aina ya kwanza ya zaka iliyotajwa inatolewa kwa ajili ya Ministry kwa Walawi.Hii haina mjadala.Hii ni kwa ajili ya Mungu.

Aina ya pili ilikuwa kwa ajili ya mtu mwenyewe,alitakiwa kila mwaka atenge 10%ya pato lake kwa ajili ya kutumia pamoja na washirika wenzao,ilikuwa ni kama donation kwa ajili ya tafrija.

Aina ya tatu ilikuwa ni kwa ajili ya watu wengine wahitaji.Hii ndio ilikuwa inatolewa kila baada ya miaka mitatu.

Kwa hesabu za haraka haraka huyu mwisrael mmoja alikuwa kila mwaka anatoa minimum of 20 % ya kipato chake kwa ajili ya Zaka.Na kila mwaka wa tatu alikuwa anatoa 30% ya kipato chake kwa ajili ya zaka.This is why nasema hata hiyo 10% inayotolewa leo ni minimum tu.

Suala la kutoa 10% kila mwezi au kila siku halifanyi kiwango cha utaoji kwa mwaka kizidi 10%.Sana sana kitakusaidia kujua exactly how much unatakiwa utoe kwa mwaka as tithe. Waisael walikuwa wanatoa kwa mwaka kwa sababu shughuli zao zilikuwa ni za msimu mfano kilimo na ufugaji. Hata sasa unaweza kukusanya kipato chako kila siku ukaenda kukitoa mwisho wa mwaka.
 
Back
Top Bottom