Fungu la Kumi: Ni lazima?

Muuza viatu

JF-Expert Member
May 14, 2020
3,840
7,916
Wadau,kipato changu wastan wa kum na tano kwa siku,kulingana na kipato nalazimika kujibana kwa kuacha hom kum ulfu na dala lililobak natumia km nauli na mengineyo.

Utata unakuja kwenye kutoa fungu la kumi kanisan, kwa mchanganuo huo nalazimika kutumia kwa kunyata mno kwa sabab pesa ni kidogo lkn naambiwa lazima nitoe fungu la kumi.

Najiuliza hawa wanaomudu kutoa fungu la kumi wamenizid kipato au kuna namna ya kumudu yote hayo???
 
Ukishapata hyo 15000 kabla ya kufanya bajeti zako hakikisha fungu la Kumi umeiweka pembeni kinyume na hapo utapiga bajeti zako za home ukija stuka huna kitu hata hilo fungu la kumi utakosa,fanya hesabu zako vizuri kama utoe fungu la kumi kwa kila wiki au kwa kilamwez
 
Wadau,kipato changu wastan wa kum na tano kwa siku,kulingana na kipato nalazimika kujibana kwa kuacha hom kum ulfu na dala lililobak natumia km nauli na mengineyo.

Utata unakuja kwenye kutoa fungu la kumi kanisan, kwa mchanganuo huo nalazimika kutumia kwa kunyata mno kwa sabab pesa ni kidogo lkn naambiwa lazima nitoe fungu la kumi.

Najiuliza hawa wanaomudu kutoa fungu la kumi wamenizid kipato au kuna namna ya kumudu yote hayo???
Kwenye buku kumi na tano yako daily tenga Buku jero kwa ajili ya fungu la kumi.Kwa maana hiyo pesa halali iliyokwenye mamlaka yako kuitumia ni shilingi 13500.Matumizi yako jitahidi yatoshe humo.

Kila kitu unachopata kama ujira wako kwenye kazi zako ni cha kwake(Mungu) anachotaka utoe Asilimia kumi tu ya hicho umrudishie kingine utumie.Na kwa kumrudishia hicho kidogo anakubariki wewe na familia yako.Kipato kinaongezeka a majanga yanapita mbali na familia yako.
 
Kwenye buku kumi na tano yako daily tenga Buku jero kwa ajili ya fungu la kumi.Kwa maana hiyo pesa halali iliyokwenye mamlaka yako kuitumia ni shilingi 13500.Matumizi yako jitahidi yatoshe humo.

Kila kitu unachopata kama ujira wako kwenye kazi zako ni cha kwake(Mungu) anachotaka utoe Asilimia kumi tu ya hicho umrudishie kingine utumie.Na kwa kumrudishia hicho kidogo anakubariki wewe na familia yako.Kipato kinaongezeka a majanga yanapita mbali na familia yako.
Na vp km najitolea kwenye huduma km fidia ya kias ambacho napaswa kutoa
 
Kwenye buku kumi na tano yako daily tenga Buku jero kwa ajili ya fungu la kumi.Kwa maana hiyo pesa halali iliyokwenye mamlaka yako kuitumia ni shilingi 13500.Matumizi yako jitahidi yatoshe humo.

Kila kitu unachopata kama ujira wako kwenye kazi zako ni cha kwake(Mungu) anachotaka utoe Asilimia kumi tu ya hicho umrudishie kingine utumie.Na kwa kumrudishia hicho kidogo anakubariki wewe na familia yako.Kipato kinaongezeka a majanga yanapita mbali na familia yako.
Kiukwel hiyo 15k haitosh kitendo cha kuipunguza ni kuongeza tatizo nadhan kanisa linapaswa libun namna mbadala kwa wale wasiomudu kutoa pesa km fungu la kumi
 
Na vp km najitolea kwenye huduma km fidia ya kias ambacho napaswa kutoa
Fungu la kumi halina substitute.Hilo linatolewa kama lilivyo.The concept ni kutambua kuwa Mungu amekupa 15000 ili umpe 1500.Otherwise angekupa tu 13500.Kwa hiyo its not your money to decide its his money.

(Find a book called Financial Stewardship cha Andrew Wommack ameelezea vizuri sana humo)
 
Kiukwel hiyo 15k haitosh kitendo cha kuipunguza ni kuongeza tatizo nadhan kanisa linapaswa libun namna mbadala kwa wale wasiomudu kutoa pesa km fungu la kumi
Unaposema 15 haitoshi unamzungumziaje mtu ambaye kipato chake ni elfu tano kwa siku? Habari ya fungu la kumi si ya kanisa ni agizo straight and very plain kutoka kwa Mungu.Hapo awali kabla Yesu hajafa msalabani palikuwa na laana endapo mtu atakwepa kutoa fungu la kumi lakini baada ya Yesu kufa laana hiyo imeondolewa.

Kwa maana hiyo basi asiyetoa hana dhambi wala laana juu yake ila hana pia baraka zilizoahidiwa kwa mtoaji. Ukilinganisha kiwango cha baraka kwa atakayetoa na kiwango cha pesa unachotoa watu wenye hekima huwiwa kutoa zaidi ya asilimia kumi ya pato lao.

10% ya kipato chako haiwezi kumaliza matatizo yako lakini kiwango hicho hicho kidogo ukimtolea Mungu kama zaka basi atakubariki na kama ungekuwa ni mkulima ningesema ungekosa hata maghala ya kuhifadhi chakula chako chote kwa namna ambavyo kingekuwa kingi.
 
Kwenye buku kumi na tano yako daily tenga Buku jero kwa ajili ya fungu la kumi.Kwa maana hiyo pesa halali iliyokwenye mamlaka yako kuitumia ni shilingi 13500.Matumizi yako jitahidi yatoshe humo.

Kila kitu unachopata kama ujira wako kwenye kazi zako ni cha kwake(Mungu) anachotaka utoe Asilimia kumi tu ya hicho umrudishie kingine utumie.Na kwa kumrudishia hicho kidogo anakubariki wewe na familia yako.Kipato kinaongezeka a majanga yanapita mbali na familia yako.
Nani alisema Mungu, anataka hela?
 
Mungu anataka Fungu la kumi sasa wewe kama unashamba peleka 10% ya mazao yako.Sasa kama ni mfanya biashara na medium yako ya exchange ni money utapeleka nini?kama unalipwa mshahara in terms of money utapeleka nini?
Anayepokea fungu la 10 ni Mungu au binadamu?
 
Wadau,kipato changu wastan wa kum na tano kwa siku,kulingana na kipato nalazimika kujibana kwa kuacha hom kum ulfu na dala lililobak natumia km nauli na mengineyo.

Utata unakuja kwenye kutoa fungu la kumi kanisan, kwa mchanganuo huo nalazimika kutumia kwa kunyata mno kwa sabab pesa ni kidogo lkn naambiwa lazima nitoe fungu la kumi.

Najiuliza hawa wanaomudu kutoa fungu la kumi wamenizid kipato au kuna namna ya kumudu yote hayo???
meku achana na kujaza matumbo ya wachungaji mungu hana shida pesa zako wew jiwekee ka akiba utoe misaada kwa kile ulichonacho kwa ndugu wasiojiweza pamoja na wasiojiweza waliotuzunguka utafanikiwa sana kuliko kuendelea kuimarisha matumbo yakina shoo na gwajiboy
 
Nilivoanzaga kutoa fungus la kumi hata kwenye hicho kidogo ninachopata aisee mambo yalianza kunyooka na majanga mengi yakanitoka aisee, so na wewe uwe unatenga kidogo utaona mafanikio, sio fungu la kumi tu watoaji wengi ndio wamefanikiwa
 
Nilivoanzaga kutoa fungus la kumi hata kwenye hicho kidogo ninachopata aisee mambo yalianza kunyooka na majanga mengi yakanitoka aisee, so na wewe uwe unatenga kidogo utaona mafanikio, sio fungu la kumi tu watoaji wengi ndio wamefanikiwa
Yes hata mimi nilifanikiwa kwa kipindi kifupi sana nilipoanza kutoa fungu la kumi.
 
Hiyo bajeti ya kuacha elfu10 kwa siku nyumbani ni bajeti ya walau anayeingiza 1ml kwa mwezi. Mzee unajitesa sana au una familia kubwa?
Kabisa mkuu ,hiyo elfu 10 anayoacha home kila siku sijaelewa anamuachia mke au kuna sehemu anakuwa anahifadhi kama akiba yake.
Kwa kipato chake hicho kama anaacha kila siku elfu 10kwa mke angetakiwa aeleze ukubwa wa familia yake
Hivi hii tabia ya kuacha hela ya matumizi mbona sinayo tuwe na kautaratibu wa kununua vitu vya msingi hata vya wiki mf unga wa mahindi,mchele,sukari,maharage,vitunguu,nyanya,carotid,mafuta
Ukiacha hela sanasana iwe ya kununua mkate wa chai asubuhi kama kiporo cha wali cha usiku hakijabaki.
Unless otherwise maisha yako yawe ya chini ya hiyo 15k aliyosema mshkaji manake hii nchi wananchi wake wengi ni maskini sana kwa sisi tuliokwisha ishi vijijini tunafahamu.
Ila hata mijini kuna watu wanaishi maisha mabovu sana just imagiine kuna sehemu nilikuwepo nikaenda dukani kununua maji ya kunywa akaja mtoto akanunua sukari vijiko2.
samahani nimetoka kidogo kwenye mada ya fungu la 10
 
Fungu la kumi kapanga Mungu au binadamu? Na kama ni binadamu, Mungu aliwaambia wapange? Mali zote ni za Mungu, unampa za nini? Acheni hizo!! Nitampa mtu ninaeona ana uhitaji!
Fungu la kumi kapanga Mungu mwenyewe. Inaitwa Zaka kwa Kiswahili na TITHE kwa kiingereza. Ukipitia Biblia yako ambayo cleary unaonekana huisomi bwana Joseph utaona haya yote yameandikwa kwa uwazi kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom