Fungu la Kumi: Ni lazima?

Fungu la Kumi: Ni lazima?

Mali yote ni ya Mungu, akuombe tena fungu, apeleke wapi? Acheni hayo maujanja, ni ili mle kilaini tu bila jasho. Sadaka yako mpe masikini unaemjua na wala sio hao wajanja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukizingatia kuwa makanisa mengi yana mirad mikubwa ambayo inaingiza faida lukuki kias cha kanisa kuweza hudumiwa na hiyo faida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fungu la kumi lazima kwa Mungu na sio binadamu. Na 10% ni ya kila kitu sio pesa hata ndani ya 24 hours mpe Mungu masaa mawili na dk 40 kila unalofanya Mungu ana chake 10%
 
Back
Top Bottom