mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Wadau,kipato changu wastan wa kum na tano kwa siku,kulingana na kipato nalazimika kujibana kwa kuacha hom kum ulfu na dala lililobak natumia km nauli na mengineyo.
Utata unakuja kwenye kutoa fungu la kumi kanisan, kwa mchanganuo huo nalazimika kutumia kwa kunyata mno kwa sabab pesa ni kidogo lkn naambiwa lazima nitoe fungu la kumi.
Najiuliza hawa wanaomudu kutoa fungu la kumi wamenizid kipato au kuna namna ya kumudu yote hayo???
Ukipata hiyo kumi na tano kwa siku toa kabisa elfu na miatano ya fungu la kumi weka kwenye bahasha ndio uanze budget zako na kumi na tatu inayobaki


nyinyi nanyi mnaibiwa waziwazi kupitia fungu la kumi..