Wapumbavu nyie mtaangamia mpka lin kwa upumbavu wenu??
Huyo Mungu mnae mtolea Kila siku sadaka ni kwann hatosheki?
Mtanyonywa mpka Lin? Mnaambiwa kila siku kuwa hii dunia na kila kitu ni Mali yake, so how come umpe kilcho chake? huoni Kama Kuna mkanganyiko hapo?,
Muumba wa kweli hana haja na sadaka Wala haitaji kitu kinaitwa sadaka, Bali anakuhitaj wew na moyo wako Safi, hizo unazoita sadaka, zibadili jina na uziite msaada then nenda kawapelekee mayatima,wagonjwa, wafungwa, wajane na masikin uone Kama huu mwaka utaisha Bila maisha yako kuwa juu.
Wana dini mnapofeli ni hapo tu kwenye mapokeo ya dini zenu, kuzishika Bila kuhoji, hayo Mambo ya sadaka yalitungwa na mkolon aliyeleta dini, ikiwa ni sabbu ya kutaka kulkuza kanisa na uchumi wa Catholic, bahat mbaya mpka vijidhehebu vilivyomeguka kutoka ktk Catholic navyo vikaendeleza itikadi za mzee wao Catholic.
Dini na maandiko yamechezewa sana, huko mnakokuita makanisan na mnapeleka sadaka Muumba hawatambui, kwakuwa kanisa la kweli ni wew mtu na sio kusanyiko Wala sio hayo magenge yenu mnayotumia kusali jmos&jpili.
Shukran ya pekee,fungu la10,mavuno, zaka, hizo zote ni takataka tu hazina maana yoyote.
Usiponiamini utaendelea kuibiwa mpka mwisho wa maisha yako na baraka utaishia kuzisikia kwa wenzako mwishoe uwaite Freemason.
Ukwel mchungu
